Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wakuu JF
Ni ushahuri ninautoa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Kama kweli mna dhamira ya dhati ya kushinda ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki. Mtumueni John Shibuda, kuwa mkuu wa kampeni.
Ni mtu makini mwenye huwezo wa kujenga hoja za kuwavuta wapiga kura. Kama mtamuweka pembeni na huu uchaguzi basi mtakuwa mmefanya makosa makubwa.
Ni ushahuri ninautoa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Kama kweli mna dhamira ya dhati ya kushinda ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki. Mtumueni John Shibuda, kuwa mkuu wa kampeni.
Ni mtu makini mwenye huwezo wa kujenga hoja za kuwavuta wapiga kura. Kama mtamuweka pembeni na huu uchaguzi basi mtakuwa mmefanya makosa makubwa.