Chadema isisimamishe mgombea Arumeru

dala dala

Senior Member
Nov 16, 2011
106
105
Chaguzi ndogo mfano ule wa Igunga, Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vilitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya Kampeni.

Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.

Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically
. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!
 
Umewashauri CUF wamejitoa nina mashaka kama CDM watakubali. Kwanza karudishe kadi ya chama chako na kuchukua kadi ya CDM ili wajenge imani na wewe. Ushauri wako umezingirwa na hofu ya kuanguka kwa chama chako. Siasa ya vyama vingi ipo kikatiba iweje unavunja katiba kwa kupunguza ushindani wa vyama? Kwenye mpira hiyo ni rushwa nadhani hata kwenye siasa ni rushwa pia kutumia ghiriba na ulaghai kuhamasisha vyama kujitoa kwenye uchaguzi.
 
Ushauri mwingine bana.........na sawa na kumwambia mmarekani aukane uraia wake ili awe mtanzania kitu ambacho hakiwezekani............kwani ccm na ccm-b wanaongeza nini wakipata arumeru?
Asante kwa ushauri wako
 
Ha ha inaonyesha huko ccm wana hati hati ya kulikosa jimbo ndo maana wanakuwa na tahadhari potofu juu ya vyama vingine
 
Umewashauri CUF wamejitoa nina mashaka kama CDM watakubali. Kwanza karudishe kadi ya chama chako na kuchukua kadi ya CDM ili wajenge imani na wewe. Ushauri wako umezingirwa na hofu ya kuanguka kwa chama chako. Siasa ya vyama vingi ipo kikatiba iweje unavunja katiba kwa kupunguza ushindani wa vyama? Kwenye mpira hiyo ni rushwa nadhani hata kwenye siasa ni rushwa pia kutumia ghiriba na ulaghai kuhamasisha vyama kujitoa kwenye uchaguzi.

=Suala la uanachama wangu CDM halina kificho,kama mwanachama nina haki ya kutoa ushauri, pia nimesema think critically unaweza kuona point, usiwe mwepesi kupinga mawazo hadimu. Tatizo lako mtu akiwa na wazo mbadala wajua ni CCM, BADILIKA KIMTAZAMO wewe
 
Chaguzi ndogo mfano ule wa Igunga, Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vilitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya Kampeni. Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.

Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically
. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!

inawezekana ukawa mwanachama wa chadema lakini una roho ya kimagamba? mbona usiwashauri ccm walio na wabunge wengi wasiweke mgombea? Hujaona impact ya chadema bungeni? Au umetumwa na nepi?

 
kadi yako namba ngapi? japo mimi siyo chadema siwezi kutoa ushauri wa kijinga kama huo.
Chaguzi ndogo mfano ule wa Igunga, Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vilitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya Kampeni. Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.

Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically
. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!
 

Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically
.
Kwanini usiwashauri CCM kujitoa kwa vile hata wakishinda still watabaki na majority bungeni.
 
=Suala la uanachama wangu CDM halina kificho,kama mwanachama nina haki ya kutoa ushauri, pia nimesema think critically unaweza kuona point, usiwe mwepesi kupinga mawazo hadimu. Tatizo lako mtu akiwa na wazo mbadala wajua ni CCM, BADILIKA KIMTAZAMO wewe

Inawezekana ni ushauri mzuri lakini umetazama "financial risks and returns only", you have not looked at the "political implications". Labda nikuulize swali dogo ambalo wewe naamini hukujiuliza, CCM watasemaje baada ya CHADEMA kujitoa???
 
Chaguzi ndogo mfano ule wa Igunga, Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vilitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya Kampeni. Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.

Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically
. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!
Ushauri wako ni sawa na hii:
error.png
 
Wewe uliyetoa hili wazo utakuwa umetumwa! CUF tu ndio mnawaweza kwa sababu mmeshawaoa....
 
Huu ushauri unawafaa sana ccm kwani katika ngome yao igunga walitumia tsh 200000 kwa kila kura sasa hapa kwa mamongoo watakoma kuringa.

Kura moja tunauza 1m wataweza?

Huku hatuli pilau chali yangu,huku ni cha arusha,kiroba na nyama coma kwa mromboo.
 
huu ni u-zuzu... ningekuona kama una busara endapo ungewashauri CCM wajitoe kwa sababu ndicho chama ambacho hutumia pesa nyingi zaidi kwenye kampeni zao... kwa ushauri huo dogo umepotea njia, kajipange upya na uwaambie kuwa dili lao tumeligundua...
 
Kuna kitu haujamalizia ilitakiwa na useme hao wanachama wa chadema waliowengi kuliko wa vyama vingine wapigie kura chama gani?
Then hapo labda ndio nitjua standing point yako.
 
Back
Top Bottom