Chaguzi ndogo mfano ule wa Igunga, Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vilitumia pesa nyingi sana kwa ajili ya Kampeni.
Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.
Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!
Nikiwa mwanachama na mkereketwa wa UKWELI ya CHADEMA nashauri tusisimamishe mgombea ARUMERU badala yake fedha zilizotakiwa zitumike kwenye kampeni zitumike kueneza itikadi na mtandao wa chama nchini. Viundwe vikosi kasi 25 kwenda kila mkoa angalau kwa mwezi mzima kwa ajili ya kazi hii. Naamini tutavuna wanachama wengi, na kufungua matawi mengi sana kwa njia hii. Tunao Makamanda kibao tu wenye uwezo wa kufanya kazi hii, mfano, Mhe. Mbowe, Dr. Slaa, Mhe. Zitto, Tundu......Mwakajila, Mtela, Heche, Mdee, na wengine wengi tu.
Ni ukosefu wa umakini kutumia milioni 500 kwa Jimbo moja wakati kiasi kama hicho kinaweza kutumika kukijenga chama takribani katika kila Jimbo nchini. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!