Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,273
- Thread starter
- #161
Ushindi wa CHADEMA ni nguvu ya Umma. CCM ni kama timu za Uarabuni. Wao kushinda kwa mabavu, hila na fitina ni kawaida sana kwao!
Tume ya Uchaguzi inawabeba; Polisi inawabeba. Lakini yote yana mwisho. Na mwisho wa hila ni adhabu ya kusambaratika vipande vipande!
Hivi sasa kuna ccm tatu, ipo ya kikwete, ya lowasa na ipo ya wajiitao wapinga ufisadi,