Chadema imejaa watu wabunifu

Kwa namna yoyote ile kama wanapaswa CCM kuwa imara ni Kuimarisha Upinzania na CCM watakuwa imara , lakini vile vile kama Upinzani ni dhaifu basi hata serikali ni dhaifu pia
 
Wanaweza pia kupata wanachama wengi na support zaidi kwa kutumia Facebook na mitandao mingine. Huko, wanaweza kuelezea mambo mengi zaidi na kwa watu wengi zaidi kuhusiana na chama hicho. Wanaweza pia kujenga uhusiano wa karibu na watanzania wanaoitakia mema kwa kujitambulisha kwa ufasaha na kujibu maswali ya watu wanaotaka kuwajua

Suala la IT kunahitajika kujipanga kisawa sawa.
Face Book zinataka regular up date, nikitembelea site leo hakuna jipya, kesho hakuna Jipya, baada ya hapo naachana nayo, na itapunguza pesornality za wahusika, pia itakuwa kazi kuja kunishwishi kurudi tena. Je wataziupdate hizo social network unazopendekeza? Waanze na hapa kwa Ushauri tu
http://www.chadema.net/blogu/mbowe/
http://www.chadema.net/blogu/slaa/
http://www.chadema.net/blogu/zitto/
http://www.chadema.net/blogu/mnyika/
 
Naona labda walikosa muda wa kufanya hivyo, Hakuna Chama kingine zenye website Tanzania kama sio CHADEMa na pia tunataka kwa kila mgombea awekwe jina lake hapa na wasifu wake kupitia web ya CHADEMA
 
Back
Top Bottom