CHADEMA ilipotosha umma taarifa ya Membe?

Mujumba

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
853
306
chama cha demokrasia na maendeleo pamoja na baadhi ya vyombo vya habari vinalaumiwa kupotosha taharifa ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh Benard Membe

Taharifa kamili
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema baadhi ya vyombo vya habari pamoja na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), vilipotosha taarifa ya Wizara hiyo kuhusiana na chama kinachofadhiliwa ili kuleta machafuko nchini.

Imesema Waziri Bernard Membe hakutaja jina la chama wala nchi kinachofadhiliwa na nchi za Jumuiya ya Ulaya ili kuleta machafuko nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, John Haule amesema, Serikali itachukua hatua za kidiplomasia chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Vienna kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia wa mwaka 1961, ikiwa itathibitisha nchi na chama hicho.

Haule amesema , Wizara imepokea taarifa za ujumbe wa simu za mkononi unaosambazwa kuwa baadhi ya nchi za Jumuiya ya Ulaya zinatuhumiwa kukifadhili chama cha siasa nchini ili kuleta machafuko na kwamba, raia wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo wanakuwa na wasiwasi juu ya usalama wao.

“Tumepokea taarifa hizo na tumezipeleka kwenye vyombo vinavyohusika kwa uchunguzi na ikithibitika, Wizara itatoa taarifa,” amesema Haule leo.

Amesema, katika mkutano wa Waziri Membe alioufanya wiki iliyopita na waandishi wa habari, alijibu suala hilo bila kutaja jina la chama wala nchi inayofadhili, lakini Chadema kiliibuka na kumtaka Membe kuzitaja balozi hizo zinazofadhili chama hicho na kiasi cha fedha kinachotolewa
 
Yakhe ghahawa ina levya?
Mbona hivyo au hujapata kashata.Wapi kuna mnanda kutajiburudishe hata asubuhi hii?
 
chama cha demokrasia na maendeleo pamoja na baadhi ya vyombo vya habari vinalaumiwa kupotosha taharifa ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh Benard Membe

Taharifa kamili
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema baadhi ya vyombo vya habari pamoja na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), vilipotosha taarifa ya Wizara hiyo kuhusiana na chama kinachofadhiliwa ili kuleta machafuko nchini.

Imesema Waziri Bernard Membe hakutaja jina la chama wala nchi kinachofadhiliwa na nchi za Jumuiya ya Ulaya ili kuleta machafuko nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, John Haule amesema, Serikali itachukua hatua za kidiplomasia chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Vienna kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia wa mwaka 1961, ikiwa itathibitisha nchi na chama hicho.

Haule amesema , Wizara imepokea taarifa za ujumbe wa simu za mkononi unaosambazwa kuwa baadhi ya nchi za Jumuiya ya Ulaya zinatuhumiwa kukifadhili chama cha siasa nchini ili kuleta machafuko na kwamba, raia wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo wanakuwa na wasiwasi juu ya usalama wao.

“Tumepokea taarifa hizo na tumezipeleka kwenye vyombo vinavyohusika kwa uchunguzi na ikithibitika, Wizara itatoa taarifa,” amesema Haule leo.

Amesema, katika mkutano wa Waziri Membe alioufanya wiki iliyopita na waandishi wa habari, alijibu suala hilo bila kutaja jina la chama wala nchi inayofadhili, lakini Chadema kiliibuka na kumtaka Membe kuzitaja balozi hizo zinazofadhili chama hicho na kiasi cha fedha kinachotolewa

TAHARIFA??????????? Ndio mdudu gani?
 
chama cha demokrasia na maendeleo pamoja na baadhi ya vyombo vya habari vinalaumiwa kupotosha taharifa ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh Benard Membe

Taharifa kamili
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema baadhi ya vyombo vya habari pamoja na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), vilipotosha taarifa ya Wizara hiyo kuhusiana na chama kinachofadhiliwa ili kuleta machafuko nchini.

Imesema Waziri Bernard Membe hakutaja jina la chama wala nchi kinachofadhiliwa na nchi za Jumuiya ya Ulaya ili kuleta machafuko nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, John Haule amesema, Serikali itachukua hatua za kidiplomasia chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Vienna kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia wa mwaka 1961, ikiwa itathibitisha nchi na chama hicho.

Haule amesema , Wizara imepokea taarifa za ujumbe wa simu za mkononi unaosambazwa kuwa baadhi ya nchi za Jumuiya ya Ulaya zinatuhumiwa kukifadhili chama cha siasa nchini ili kuleta machafuko na kwamba, raia wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo wanakuwa na wasiwasi juu ya usalama wao.

"Tumepokea taarifa hizo na tumezipeleka kwenye vyombo vinavyohusika kwa uchunguzi na ikithibitika, Wizara itatoa taarifa," amesema Haule leo.

Amesema, katika mkutano wa Waziri Membe alioufanya wiki iliyopita na waandishi wa habari, alijibu suala hilo bila kutaja jina la chama wala nchi inayofadhili, lakini Chadema kiliibuka na kumtaka Membe kuzitaja balozi hizo zinazofadhili chama hicho na kiasi cha fedha kinachotolewa

Sijapata ufafanuzi. Ni nini alichosema Membe na waliopotosha walisemaje? Unawezaje kufanya masahihisho bila kutaja kosa lilikuwa lipi na lipi jibu sahihi?
 
Wameshachanganyikiwa hao, na huyo mwenyekiti wao Mkwere mpaka ikifika December lazima awe mwehu kamili, hiyo ndio laana ya wananchi ilivyo na nguvu, sasa hivi wanaongea kama wehu, haya Mkwere leo anawalaumu maprofesa, wakati ni yeye huyo huyo ndio anawapa vyeo kwenye siasa, unadhani maprofesa wakilipwa vizuri kama wabunge hawawezi kufanya kazi kwa bidii na kwa roho moja?
 
Hawa jamaa kweli wamechanganyikiwa. Tulimshuhudia wenyewe kwenye Kioo Mheshimiwa Membe akisema kuwa wana taarifa kuwa kuna nchi moja ya magharaibi inafadhili chama kimoja cha siasa nchini ili kuleta machafuko.
CDM wametaka Membe ataje hizo Nchi zinazotuhumiwa kufadhili machafuko. Tatizo liko wapi?
Huwezi ukaamka tu na kudai kuwa kuna tuhuma ya baadhi ya nchi za magharibi kufadhili machafuko bila kutaja nchi zenyewe. Kama ulikuwa unataka kufanya uchunguzi kwanza UNGEKAA KIMYA na kufanya uchunguzi wako kimya kimya kabla hujazomoka hadharani.
Ilichotaka CDM ni Membe kutoa ufafanuzi wa hizo nchi zinazosemekana kufadhili machafuko. Upotoshaji uko wapi hapo??
Na mbona hawakuzungumzia kauli ya Mheshimiwa Sophia Simba ambaye aliitaja wazi CDM? Ama na yeye atamtuma Katibu Mkuu wa Wizara yake kuja kumfutia makosa?? Ama kweli Serikali hii kila sasa mtu na lwake!!!
 
chama cha demokrasia na maendeleo pamoja na baadhi ya vyombo vya habari vinalaumiwa kupotosha taharifa ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh Benard Membe

Taharifa kamili
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema baadhi ya vyombo vya habari pamoja na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), vilipotosha taarifa ya Wizara hiyo kuhusiana na chama kinachofadhiliwa ili kuleta machafuko nchini.

Imesema Waziri Bernard Membe hakutaja jina la chama wala nchi kinachofadhiliwa na nchi za Jumuiya ya Ulaya ili kuleta machafuko nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, John Haule amesema, Serikali itachukua hatua za kidiplomasia chini ya Mkataba wa Kimataifa wa Vienna kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia wa mwaka 1961, ikiwa itathibitisha nchi na chama hicho.

Haule amesema , Wizara imepokea taarifa za ujumbe wa simu za mkononi unaosambazwa kuwa baadhi ya nchi za Jumuiya ya Ulaya zinatuhumiwa kukifadhili chama cha siasa nchini ili kuleta machafuko na kwamba, raia wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo wanakuwa na wasiwasi juu ya usalama wao.

“Tumepokea taarifa hizo na tumezipeleka kwenye vyombo vinavyohusika kwa uchunguzi na ikithibitika, Wizara itatoa taarifa,” amesema Haule leo.

Amesema, katika mkutano wa Waziri Membe alioufanya wiki iliyopita na waandishi wa habari, alijibu suala hilo bila kutaja jina la chama wala nchi inayofadhili, lakini Chadema kiliibuka na kumtaka Membe kuzitaja balozi hizo zinazofadhili chama hicho na kiasi cha fedha kinachotolewa

Chadema wamezoea sana kuzidisha na kupotosha umma. hao hao walidanganya kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga amefariki, na hao hao tena jana tu wamezua kuwa magufuri kajiuzulu. Na kesho watasema mengine.

hakika Chama hiki kimejaa wanafiki na waongo wakubwa sana katika kutaka kuleta balaa nchini.
 
Wapambe mna nguvu kuliko wenye mali, endeleeni tu kuwatumikia mafisadi lakini mwisho wa siku mtalipa kwa usaliti wenu.
 
chadema wamezoea sana kuzidisha na kupotosha umma. Hao hao walidanganya kuwa mkuu wa mkoa shinyanga amefariki, na hao hao tena jana tu wamezua kuwa magufuri kajiuzulu. Na kesho watasema mengine.

Hakika chama hiki kimejaa wanafiki na waongo wakubwa sana katika kutaka kuleta balaa nchini.

umeona eeh? Sijui source yao ya habari huwa ni ipi? Slaa kipindi cha uchaguzi ashawahi kuzusha kuna contena lenye shahada za kupigia kura limekamatwa mahali,polisi kwenda wakakuta ni uzushi hakuna cha shahada wala nini! Hivi kwanini cdm wanamfeed kiongozi wao habari za uzushi? Hii inafanya watu kukosa imani nao
 
Hahahaha,we marytina kila nikisoma post yako lazima nikute neno hilo duh
hilo neno ni aina flani ya dharau huku tabora.Huku ukiitwa yakhe ghahawa vipi humaanisha huna uwezo wa kufikiri unaitaji msaada wa kuzindua fikra zako.
Mtaani watu wakichoka mwili na akili hutumia kahawa vijiweni hapo husema CUF ni chama cha kisomi zaidi kwani mwenyekiti wake ni professor.Pia husema Pengo Kadinali alikuwa akiingia bungeni kama mbunge maalum alikuwa na kura ya veto ila kwa sasa JK kamzuia.Hoja gani jamaniiiiii upuuzi mtupu
 
umeona eeh? Sijui source yao ya habari huwa ni ipi? Slaa kipindi cha uchaguzi ashawahi kuzusha kuna contena lenye shahada za kupigia kura limekamatwa mahali,polisi kwenda wakakuta ni uzushi hakuna cha shahada wala nini! Hivi kwanini cdm wanamfeed kiongozi wao habari za uzushi? Hii inafanya watu kukosa imani nao

Uzushi? Kwani kikwete alishinda kwa kura zipi? Mbona mawakala wa vyama na waangalizi hawakuruhusiwa wakati wa kujumlisha kura kitaifa (rejea ripoti ya waangalizi wa EU), pia jiulize kwa nini ilitungwa sheria ya kutopinga matokeo kortini, maana kura bandia walizozizoea zingechambuliwa na uhuni wao kubainika.
 
umeona eeh? Sijui source yao ya habari huwa ni ipi? Slaa kipindi cha uchaguzi ashawahi kuzusha kuna contena lenye shahada za kupigia kura limekamatwa mahali,polisi kwenda wakakuta ni uzushi hakuna cha shahada wala nini! Hivi kwanini cdm wanamfeed kiongozi wao habari za uzushi? Hii inafanya watu kukosa imani nao

Wewe Shanga...... Shangazi or Kashangazi una matatizo gani?? Unawasiwasi kuwa Chadema wanatia kitumbua cha baba mchanga nini??? Try to urgue with your mind to your head!!!
 
Hawa jamaa kweli wamechanganyikiwa. Tulimshuhudia wenyewe kwenye Kioo Mheshimiwa Membe akisema kuwa wana taarifa kuwa kuna nchi moja ya magharaibi inafadhili chama kimoja cha siasa nchini ili kuleta machafuko.
CDM wametaka Membe ataje hizo Nchi zinazotuhumiwa kufadhili machafuko. Tatizo liko wapi?
Huwezi ukaamka tu na kudai kuwa kuna tuhuma ya baadhi ya nchi za magharibi kufadhili machafuko bila kutaja nchi zenyewe. Kama ulikuwa unataka kufanya uchunguzi kwanza UNGEKAA KIMYA na kufanya uchunguzi wako kimya kimya kabla hujazomoka hadharani.
Ilichotaka CDM ni Membe kutoa ufafanuzi wa hizo nchi zinazosemekana kufadhili machafuko. Upotoshaji uko wapi hapo??
Na mbona hawakuzungumzia kauli ya Mheshimiwa Sophia Simba ambaye aliitaja wazi CDM? Ama na yeye atamtuma Katibu Mkuu wa Wizara yake kuja kumfutia makosa?? Ama kweli Serikali hii kila sasa mtu na lwake!!!

Umenena, sasa kweli sirikali imechanganyikiwa.
 
Wewe Shanga...... Shangazi or Kashangazi una matatizo gani?? Unawasiwasi kuwa Chadema wanatia kitumbua cha baba mchanga nini??? Try to urgue with your mind to your head!!!

Yakhe ghahawa ina levya?
 
kama umma haujapotoshwa basi waziri atuambie ni chama gani kinapata hela toka nje...

tuende kwa evidence
 
Back
Top Bottom