Chadema, Igunga Itufunze kuwa na heshima

Embu niambie kesi ipi wewe uliifuatilia ukaielewa,unipe facts,issue,decision,reasoning na sheria ilotumika..

Nakwambia Tundu Lissu atawacost nyie.
Ustaarab ni hulka ya mtu,haufundishwi darasani wala hakuna chuo cha sheria kinafundisha ustaarab..

Unaweza kucritique reasoning za majaji sawa lakini sio kutoa baseless accusations which end up being personal attacks..

Naona una bifu na Tundu Lisu. Hata jina lako umefanya kukopy na kupaste kutoka kwake ukajiita Mtundu Kisu. Kwa kweli jamaa atawasumbua sana. Nakubaliana na kauli ya JK ... Heri Slaa kuingia ikulu kuliko Tundu lisu kuwa mbunge. Na sasa ni Mbunge .........
 
kesi ya igunga hata mtoto wa darasa la saba angetengua matokeo.waziri mzima utawaambiaje wananchi kwamba msipochagua ccm sijengi daraja?
 
chadema wanajisumbua buleeeee....................uchaguzi hata ukirudiwa ccmmmm itashinda tena
watanzania wameichokaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kuendeleza ukabila na kunyanyasa wanachi kwa kujipendelea viti maluuuum full undugu
Umetoroka Mirembe!Hata kichaa akikaa kimya huwezi jua kuwa kama ni Moko ila akiongea ndio mnasituka kuwa tulienae anatakiwa Mirembe au mahali panapofanana na hapo! Poteaaaaaaaa
 
umejenga hoja ila usijenge hoja kwa kuangalia upande mmoja tu,,, actually tundu lissu inawezekana yuko sahihi kabisa coz sikumbuki kama aliwahi kusema kuwa majaji wote ndio vilaza lakini pia uchunguzi wa kina haujafanyika ili kuthibitisha ukweli kuwa hakuna majaji walio vilaza na waliochaguliwa bila kuyfuata creteria zilizowekwa....(hivyo ndivyo nilivyoielewa hoja ya tundu lisu). next tym come with something very convicing
 
chadema wanajisumbua buleeeee....................uchaguzi hata ukirudiwa ccmmmm itashinda tena
watanzania wameichokaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kuendeleza ukabila na kunyanyasa wanachi kwa kujipendelea viti maluuuum full undugu
Mods tafadhali mimi naomba muweke kitufe cha kumgongea mtu neno 'dislike'...mtu kama huyu anafaa kitufe kama hicho kitumike kwa pumba anazoziandika hapa...
 
Jamani hamjui kuwa tulitawaliwa na siasa ya ujamaa na kujitegemea? siasa ambayo haikujali haki bali kumuabudu maneno ya watu. Leo hii ndiyo kwanza tunaamka na hivyo zoezi la kutendewa haki linahitaji kuililia mahakama kuu iwe nasio utani. Sasa katika kutoa maoni ya katiba, umuhimu wa mahakama kuu kuwa huru ni mkubwa sana kupita soda kwenye harusi ya mlokole. halafu swala lingine ni kuwa katika katiba lazima kifutwe kifungu kisemacho, Tanzania is travelling on Ujamaa and Kujitegemea parth.
 
Tushindwe ili tuheshimiane. Mbona wabongo mnasahau kauli nzito baada ya muda mfupi. A winner is always a winner hata ukimchelewesha vipi. Watu wamejipanga na katu hawalali.
 
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.

Nyongeza:
Tena hili la Tundu Lisu kuwaita majaji vilaza litawacost..mnajua kitu kinaitwa ‘judicial hunch‘? Ni ile hali ya jaji kuskiliza kesi na kuamua not on the basis of the facts and evidence tendered but on prior information,feelings,or opinions he holds regrding the matter..wakati mwingine tunasema jaji kawa ‘prejudiced‘.

Mfano,mshawatukana majaji sana kupitia Tundu Lisu,mtashangaa Godbless Lema akishinda rufaa yake Court of Appeal,ambayo haohao majaji mlowaita vilaza wanapreside?
It is so unfortunate that Tundu Lisu is an advocate of the high court,and courts subordinate thereto.He also happens to be his party‘s whip in the parliamnet.I though he should know better. If anything,hitting below the belt like that just works against him.it will all be coming back to him(and chadema for that matter!)
Wacha mambo zako wewe Bwana Mtundu Kisu,
Kila jambo lina wakati wake. Wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna. Leo hao majaji wanaweza kuamua kwa kuwa biased under the so called Prejudice and Judicial hunch. Lakini hii haiondoi UKWELI tunaoujua juu ya Uteuzi wao. Infact Katika jamii ya Lawyers wanatambua UOZO katika teuzi hizo. Wengine tupo jikoni pia tunajua yanayoendelea in the name of IKIMPENDEZA...!! Tukubaliane,kuna uozo mwingi katika uteuzi mbalimbali.including majaji.
 
Last edited by a moderator:
Hii inawezekana ikawa janja ya CCM kuhalalisha hukumu ya rufaa ya Lema in favour of CCM.
 
Huu ni ukweli tusilaumu kwa kuwa hatukupata sisi, haki inaweza kutendeka na kwa wao.

umewasiliana na mwigulu? Tuambie hali yake leo ikoje! Kama vipi nipe namba yake nimpigie nimuulize kama yuko tayari kupewa tena ukampeni meneja wa igunga?
 
Naona una bifu na Tundu Lisu. Hata jina lako umefanya kukopy na kupaste kutoka kwake ukajiita Mtundu Kisu. Kwa kweli jamaa atawasumbua sana. Nakubaliana na kauli ya JK ... Heri Slaa kuingia ikulu kuliko Tundu lisu kuwa mbunge. Na sasa ni Mbunge .........

I‘m afraid you got it all wrong. Mtundu kisu mimi ni jina langu halisi and it is not my fault linalandana na tundu lissu.
Na nilianza kulitumia hapa jf zamani kabla hata sikuwahi kufkiria i would one day write against tundu lissu.
Sina bifu nae na kuna aspects nakubaliana naye,ila hoja yangu kwa sasa ni hiyo hapo juu.
 
Hii inawezekana ikawa janja ya CCM kuhalalisha hukumu ya rufaa ya Lema in favour of CCM.

Seriously?Man,are you that much deaf and so fond of chadema to stage excuses way in advance?
 
yule jaji aliyoehukumu kesi ya lema atakuwa kajisikia vibaya sana - atajilaumu milele kufanya kosa la kitaaluma. nampa pole sana kutumiwa na ccm kwa muda mfupi tu, kama yule jamaa aliyepewa visenti kidogo akasema dr. slaa kampla mkewe --- we ulishaona wapi mwanaume wa kiafrika ukaporwa mke? aibu kubwa mno...
 


Nakwambia Tundu Lissu atawacost nyie.

Pamoja na kusoma sheria unaamini juu ya kisasi? Ndio maana kuna m4c. CDM ikichukua nchi kesi zote za kifisadi zinaanza moja
 
Mfano,mshawatukana majaji sana kupitia Tundu Lisu,mtashangaa Godbless Lema akishinda rufaa yake Court of Appeal,ambayo haohao majaji mlowaita vilaza wanapreside?

Actually ni majaji walio na sifa za ujaji wanaolalamika wakiona nafasi hiyo inaingiliwa na wasanii wasio na sifa wanaobebwa tu mradi wafaidi maslahi. Ni majaji makini wanaosikitika wanapoona wale wenye sifa za kuwa promoted wanaachwa halafu vilaza wanapewa vyeo. Chunguza vizuri malalamiko na manung'unko yanatoka kwa majaji. Lisu kama mtu aliye karibu nao katika shughuli za kila siku amekuwa mouth piece. majaji ukweli wanamkubali!!
 
Hukumu ya leo kuhusu matokeo ya uchaguzi Igunga imeibua vitu kadhaa kwa vyama vya siasa,hasa chadema kujifunza.

Wamekuwa wepesi sana siku zote kulalamika mahakama haitendi haki na kuwa mhimili huu wa haki unaingiliwa sana. Lakini leo wamekuwa wepesi kusema haki imetendeka-kisa wameshinda kesi.

Je,haki inatendeka tu wakishinda chadema?Na uhuru wa mahakama unakuwa umeingiliwa pale tu ccm ikishinda kesi ya uchaguzi kama kule Arusha?

Nadhani let us give the devil his due(his being a devil notwithstanding!)
Tujifunze kutokuwa wepesi kuropoka,kulaumu,kukejeli,kutunga uongo na kutukanana/kuchafuana kusiko na msingi wala tija.

Nyongeza:
Tena hili la Tundu Lisu kuwaita majaji vilaza litawacost..mnajua kitu kinaitwa ‘judicial hunch‘? Ni ile hali ya jaji kuskiliza kesi na kuamua not on the basis of the facts and evidence tendered but on prior information,feelings,or opinions he holds regrding the matter..wakati mwingine tunasema jaji kawa ‘prejudiced‘.

Mfano,mshawatukana majaji sana kupitia Tundu Lisu,mtashangaa Godbless Lema akishinda rufaa yake Court of Appeal,ambayo haohao majaji mlowaita vilaza wanapreside?
It is so unfortunate that Tundu Lisu is an advocate of the high court,and courts subordinate thereto.He also happens to be his party‘s whip in the parliamnet.I though he should know better. If anything,hitting below the belt like that just works against him.it will all be coming back to him(and chadema for that matter!)

Last time I checked there was something called " impartial judiciary" and "checks and balances" and "judicial activism" and " nepotism in selection o judiciary occupants", "loosing or wining a case based on merits".Check those in dictionary or thesaurus and refine your argument. It might have chance to hold water. But as is,it is naked and prone to unpleasant criticism
 
Back
Top Bottom