Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hata hapa Stein amependekeza uchunguzi wa kina kufanyika kuhusu kwanini wanaoueneza ukanda wa kaskazini watokee Kigoma?
Kwanini Vijana wa juzi tu kwenye siasa watake uongozi wa juu kwenye vyama vyao? (zitto na kafulila)
ni akina nani wanawatumia vijana hawa machachari kuitaka kuivuruga chadema?
Uchunguzi huru na wa kina ufanyike kubaini hawa wahuni, before consodering serious and critical action to be taken kama alivyopendekeza Stein kwamba maamuzi magumu yachukuliwe sasa kabla madhara hayajatokea hapo baadaye!
Kwanini Vijana wa juzi tu kwenye siasa watake uongozi wa juu kwenye vyama vyao? (zitto na kafulila)
ni akina nani wanawatumia vijana hawa machachari kuitaka kuivuruga chadema?
Uchunguzi huru na wa kina ufanyike kubaini hawa wahuni, before consodering serious and critical action to be taken kama alivyopendekeza Stein kwamba maamuzi magumu yachukuliwe sasa kabla madhara hayajatokea hapo baadaye!
No research no right to speak, mimi nakaa kimya! Ila if you think you have evidences toeni hapa then watu wadiscuss siyo kwa heresay!