STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ndugu wana CDM,
Sasa umefika wakati wa kufanya maamuzi magumi kuliko kipindi chochote, Kina sisimizi wanafanya mapambano ya chini kwa chini kutataka kuonekana wao ndiyo wana haki ya kuwa viongozi wa wananchi.
Nasikita kuona kuna vijana wa juzi tu 2005 leo wanataka nafasi za juu ile hali uadilifu wao si wa kuridhisha hata kidogo na kinachotokea hawa vijana wamekuwa wanashambulia ile hali Chama kimewafichia siri zao nyingi.
Hawa vijana wanafanya harakati za kutaka nchi hii iendelee kuwa mikononi mwa mafisadi sijui hadi lini I think hadi wananchi watumie nguvu ya Umma.
Rai yangu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa CDM Taifa kujaribu kuwahoji hawa vijana na ikiwezekana ni kuwa subject kwenye mazingira magumu ili hawa vijana ikiwezekana waondolewe kwenye chama maana ndiyo nimeiona wanaojihangaisha kuigawa Chama kwa Ukanda na Udini ambao hauna Msingi wowote.
Embi fikiria hata Ushindi wa Nasari wanasema ni kwa sababu ya Ukanda, Mbona hatukusikia wakati wa Charles Mwera wa Tarime?
Mbona CDM kina Nguvu sana Kanda ya Ziwa na Nyanda Za juu kusini, Mbona CDM kimeshika Nafasi ya pili Uzini, Igunga na Sehemu Karibu Zote isipokuwa Kigoma ambako Kimehujumiwa na Zikto Kabwe ambaye alikuwa na anawapigia Debe NCCR na JK katika Kampeni Zake?
Mimi naomab Uchunguzi huru ndani ya Chama ufanyike ni kwa sababu gani CDM kilishindwa kigoma na NCCR wakati Zito N/K anatoka ukanda ule?
Nawasilisha.
UPDATES:
December 20, 2012
Sasa umefika wakati wa kufanya maamuzi magumi kuliko kipindi chochote, Kina sisimizi wanafanya mapambano ya chini kwa chini kutataka kuonekana wao ndiyo wana haki ya kuwa viongozi wa wananchi.
Nasikita kuona kuna vijana wa juzi tu 2005 leo wanataka nafasi za juu ile hali uadilifu wao si wa kuridhisha hata kidogo na kinachotokea hawa vijana wamekuwa wanashambulia ile hali Chama kimewafichia siri zao nyingi.
Hawa vijana wanafanya harakati za kutaka nchi hii iendelee kuwa mikononi mwa mafisadi sijui hadi lini I think hadi wananchi watumie nguvu ya Umma.
Rai yangu kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa CDM Taifa kujaribu kuwahoji hawa vijana na ikiwezekana ni kuwa subject kwenye mazingira magumu ili hawa vijana ikiwezekana waondolewe kwenye chama maana ndiyo nimeiona wanaojihangaisha kuigawa Chama kwa Ukanda na Udini ambao hauna Msingi wowote.
Embi fikiria hata Ushindi wa Nasari wanasema ni kwa sababu ya Ukanda, Mbona hatukusikia wakati wa Charles Mwera wa Tarime?
Mbona CDM kina Nguvu sana Kanda ya Ziwa na Nyanda Za juu kusini, Mbona CDM kimeshika Nafasi ya pili Uzini, Igunga na Sehemu Karibu Zote isipokuwa Kigoma ambako Kimehujumiwa na Zikto Kabwe ambaye alikuwa na anawapigia Debe NCCR na JK katika Kampeni Zake?
Mimi naomab Uchunguzi huru ndani ya Chama ufanyike ni kwa sababu gani CDM kilishindwa kigoma na NCCR wakati Zito N/K anatoka ukanda ule?
Nawasilisha.
UPDATES:
December 20, 2012
Guys:
Kama CCM wakaamua leo kulipuana Mitandaoni kama Mnavyofanya nyie wana CDM, It will be completely Dead.
Siamini kama ni haki kwa nyie viongozi vijana na tegemeo kwa Chadema kuanza kulimbana na kulipuana mitandaoni tena mtandao maarufu kama Huu.
Sidhani kama hii ni busara hata kidogo. Tunaomba hayo mambo yenu ya ndani malizieni kwenye vikao. Kuna wengine tulishaona ukombozi ukija kupitia CDM. ila kwa haya yanayojitokeza sasa naomba nikiri kukosa Imani na CDM. na kwa mwendo huu niseme tu hiki Chama hakifai kupewa Dola.
Nguvu zote, Gharama zote zilizotumiaka kwenye M4C zimekua Bure? hivi mnajua kuna watu wamepoteza maisha kwaajili ya kuitetea Chadema? ni raia wangapi wamepigwa risasi kwenye mikutano ya CDM?
Leo hii kula kitu kimekua bure? hivi haya malumbano mnayaleta huku jamvini kwa faidi ya nani? Kwahiyo tumeshajua yote hayo, mnataka tuchukue hatua gani?
Kumbukeni sisi hatuna la kufanya zaidi ya kufanya maamuzi ya Binafsi kuhusu CDM. Hivi nikisema haya malumbano yameshusha umaarufu wa CDM nitakua nimekosea?
Vijana wa CHADEMA na Uongozi wa Taifa wa CHADEMA wanakatisha tamaa na wanasikitisha pamoja na kuudhi kulikopitiliza; na hapa nazungumzia wa kambi zote zinazokinzana katika mjadala unaoendelea. Wanakatisha tamaa kwa sababu wanarudisha nyuma juhudi zote za yote tuliyoyafanya kufikia hapa tulipofikia.
Maana sasa inaonekana wanashindanisha nani ana akili zaidi kichwani, nani mjanja zaidi na nani anaweza kugundua unafiki wa mwingine.
It is pathetically shameful and somebody need to do something vinginevyo wengine tutaingilia kati kama kwenye mjadala wa "Urais na Ujana vs. Uzee".
If you guys can't we will help you. It is absolutely pathetic.
MMM
Tik Tak Tik Tak