CHADEMA hawana jipya...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.

Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...
 
Mkuu we mkalee!!! Kula Like maana umewakamata kina Ritz na Tume wamekuja fasta wakijua tajiri wao Nape kaongeza mamluki kumbe duh!! Wamenyong'onyea haoo!! ILA UKWELI WAMEENDA NAO JAPO HAWAJACOMMENT.
 
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.
Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...

Mkama@work
 
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.

Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...

Pole mkuu; naamini kabisa una-suffer from the outcome of the ongoing 'twanga kotekote' reality ya CDM.

Huna jipya except utulie na kuvumilia jinsi magamba yenu yanayopukutika.
 
Pole mkuu; naamini kabisa una-suffer from the outcome of the ongoing 'twanga kotekote' reality ya CDM.

Huna jipya except utulie na kuvumilia jinsi magamba yenu yanayopukutika.
Kindly read between lines...
 
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.

Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...

Mkuu Tittle yako ilinifanya niingie kwenye hii thread vidole vinanichezacheza huku badala ya kuandika nataka kusema kabisa lakini nilivyoisoma nikapata nguvu. sasa Ritz Rejao na Tume ya Katiba wameingia kwa furaha wailiposoma wakazimia ndio maana wameshindwa kucomment kwi! kwi! kwi! kwi!
 
Sipati picha kina Ritz, Rejao , Tume ya Katiba
walivyokuja huku mate yakiwadondoka utadhani paka shume anayehara wakakutana na kisiki cha mpingo ngoma nzito, wakaanguka chini wote, shenzi type..
Ahsante mleta uzi kwa ubunifu wa hali ya juu.
 
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.

Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...

They have to stay the cause, stay focused, wangebadilisha foucus kama hayo wanayoyapigia kelele tangu mwaka 92 yangekuwa yamepatiwa ufumbuzi!! labda kama wewe unaona kwamba hayo yameshatatuliwa sijui!? ufisadi, rushwa, mikataba mibovu, police extra judicial killings, wizi wa raslimali za taifa, madini nyara za serikali, misitu, wanyama pori, Bajeti ya serikali isiyozingatia hali halisi ya mwananchi, mfumuko wa bei, nk. nk. kama wewe hayo si ya kuendelea kukemea basi mwenzetu wewe unaishi katika nchi ya kusadikika na wala sio Tanzania and that makes you a poor analyst and thinker. pole sana.
 
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.

Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...
mkuu niliingia kwa hasira kubwa lkn nimeishia kupga LIKE kubwa. ila umewakamata wengi
 
They have to stay the cause, stay focused, wangebadilisha foucus kama hayo wanayoyapigia kelele tangu mwaka 92 yangekuwa yamepatiwa ufumbuzi!! labda kama wewe unaona kwamba hayo yameshatatuliwa sijui!? ufisadi, rushwa, mikataba mibovu, police extra judicial killings, wizi wa raslimali za taifa, madini nyara za serikali, misitu, wanyama pori, Bajeti ya serikali isiyozingatia hali halisi ya mwananchi, mfumuko wa bei, nk. nk. kama wewe hayo si ya kuendelea kukemea basi mwenzetu wewe unaishi katika nchi ya kusadikika na wala sio Tanzania and that makes you a poor analyst and thinker. pole sana.

Unatakiwa ufikiri haraka but kwa umakini..hebu soma post ya mwanzisha thread halafu uelewe alichomaanisha,ukielewa ulivyoelewa mwanzo,basi una matatizo!
 
CHADEMA WAKO FOCUSED TO THEIR VISION- KULETA MAENDELEO YA KWELI KWA WATANZANIA. HIVYO BILA RASLIMALI ZINAZOHUJUMIWA NA WACHACHE MAENDELEO YA KWELI NI NDOTO. kAMA PAKA SHUME AMEKWAPUA NYAMA YA WANO JIKONI INABIDI UMSAKE UMKAMATE ILI RUDISHI , VINGINEVYO WANAO0 WATALALA NA NJAA NA USIPOANGALIA WATAKUFA
 
Back
Top Bottom