VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
CCM wanasukuma kashfa lukuki kwa CHADEMA.Mara za ukabila,mara za udini,mara za ukanda,mara za vurugu na uvunjifu wa amani nk.CHADEMA wao hawana jipya.Hawana jipya zaidi ya nia madubuti ya kuleta mabadiliko ya kifikra,kiutawala na kimaendeleo kwa watanzania.Hawana jipya zaidi ya kuchukia wizi wa viongozi wa Serikali na washirika wao kwa matendo.Hawana jipya zaidi ya kuwaambia watu ukweli kuwa wachache na watoto wao ndio wanaotamba kuimiliki Tanzania.
Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...
Hawana jipya zaidi ya kuiongoza nchi ya Tanzania wakiwa 'benchi' la upinzani.Hawachukii hata kidogo kuigwa na kuibiwa sera na Serikali iliyo madarakani.Wameyashikilia mambo hayohayo tangu mwaka 1992 hadi leo.Hawachoki,hawaachi...