Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
Nikilinganisha kwa muonekano wa picha za mikutano kati ya CCM na CHADEMA naona kuna kundi kubwa la wapiga kura nalikosa kwenye picha za CHADEMA, si waongeaji sana lakini ndio huamua nani awe kiongozi kutokana na nguvu yao ya kujitoa, uvumilivu na uwingi wao. Kwa waliofika kwenye mikutano labda kamera huwa haziwaoni, Je wapo wapiga kura hawa?