Kwa mara nyingine tena vyama hasimu CCM na CHADEMA vinataraji kutoana jasho katika chaguzi ndogo za serikali za mitaa mitano[5] zitakazofanyika ndani ya jimbo la Iron Lady Halima Mdee almaarufu kama sauti ya zege, mitaa hiyo mitano ambayo ni mivumoni, Bunju, Mbezi Beach, Jogoo, Makongo juu na Mikocheni hapo awali ilikuwa ikishikiliwa na CCM na sasa imebaki wazi kwasababu mbalimbali zikiwemo vifo na kura za kutokuwa na imani na mwenyekiti zlizopigwa katika mtaa wa jogoo na kumuondoa mwenyekiti aliyekuwepo.
kitu kinachovutia katika chaguzi hizi ni namna ambavyo vyama hv vimeshaanza kuchezeana rafu ambapo huko mivumoni CCM imelazimisha kupiga copy daftari la wapiga kura ili kuwajua waliojiandikisha na kisha kuwafuata na bakshishi kuwashawishi wawapigie kura na hata kuahidi fedha zaidi baada ya ushindi lakini pia huku Bunju CCM inatuhumiwa kutumia wajumbe wake wa nyumba kumi kuandikisha watu wasio wakazi wa eneo husika kupiga kura huku pale Mikocheni.
Wajumbe wa CCM wamekua wakikataa kuwatambua vijana wote ambao wanajulikana au kuhisiwa kuwa niwanachadema na hvyo kuwanyima fursa ya kuijandikisha katika daftari hilo la kupiga kura ya mtaa, kampeni zitaanza tar 20 july nitwapa updates zaidi katika mtanange huu ambao utatoa taswira halisi ya joto la kisiasa katika jimbo la Kawe lenye madiwani watatu wa CHADEMA huku CCM ikiwa na madiwani 7 kati ya kata 10.
Jamii Forums daima.
kitu kinachovutia katika chaguzi hizi ni namna ambavyo vyama hv vimeshaanza kuchezeana rafu ambapo huko mivumoni CCM imelazimisha kupiga copy daftari la wapiga kura ili kuwajua waliojiandikisha na kisha kuwafuata na bakshishi kuwashawishi wawapigie kura na hata kuahidi fedha zaidi baada ya ushindi lakini pia huku Bunju CCM inatuhumiwa kutumia wajumbe wake wa nyumba kumi kuandikisha watu wasio wakazi wa eneo husika kupiga kura huku pale Mikocheni.
Wajumbe wa CCM wamekua wakikataa kuwatambua vijana wote ambao wanajulikana au kuhisiwa kuwa niwanachadema na hvyo kuwanyima fursa ya kuijandikisha katika daftari hilo la kupiga kura ya mtaa, kampeni zitaanza tar 20 july nitwapa updates zaidi katika mtanange huu ambao utatoa taswira halisi ya joto la kisiasa katika jimbo la Kawe lenye madiwani watatu wa CHADEMA huku CCM ikiwa na madiwani 7 kati ya kata 10.
Jamii Forums daima.