Chadema boresheni mikakati yenu

Ntambaswala

JF-Expert Member
Dec 7, 2008
255
78
Sio siri kuwa wananchi wengi wanaamini TZ kuna watawala wawili- kutokea magogoni na wale kutokea CHADEMA (Slaa etc). Kunapokuwa na hali tete katika nchi tunategemea tamko/action kutoka either side of the camps. Upande mmoja ukiboronga hasa ule wenye dola tunategemea kauli thabiti kutoka CHADEMA.

Chadema bado hawajajifunza ku capitalize udhaifu wa serikali na CCM na kutoa hoja mbadala. Baada ya bunge kuahirishwa nilitegemea uongozi wote wa makamnada kuitisha hata press conference kulieleza Taifa nini kinafuata baada ya hapo. Ndo maana hata JK nasikia alisema huu ni upepo utapita tu... kwa vile anajua Watanzania wanapiga kelele halafu baada ya wiki wanasahau na mambo yanaendelea.

Tafadhali CDM hali ilipofika sio ya kuacha hivi hivi tunaomba kauli thabiti ya CDM nini kinafuata baada ya sintofahamu hii ya bunge ili wananchi tuwe tunafahanu kinachoendelea
 
Sio siri kuwa wananchi wengi wanaamini TZ kuna watawala wawili- kutokea magogoni na wale kutokea CHADEMA (Slaa etc). Kunapokuwa na hali tete katika nchi tunategemea tamko/action kutoka either side of the camps. Upande mmoja ukiboronga hasa ule wenye dola tunategemea kauli thabiti kutoka CHADEMA.

Chadema bado hawajajifunza ku capitalize udhaifu wa serikali na CCM na kutoa hoja mbadala. Baada ya bunge kuahirishwa nilitegemea uongozi wote wa makamnada kuitisha hata press conference kulieleza Taifa nini kinafuata baada ya hapo. Ndo maana hata JK nasikia alisema huu ni upepo utapita tu... kwa vile anajua Watanzania wanapiga kelele halafu baada ya wiki wanasahau na mambo yanaendelea.

Tafadhali CDM hali ilipofika sio ya kuacha hivi hivi tunaomba kauli thabiti ya CDM nini kinafuata baada ya sintofahamu hii ya bunge ili wananchi tuwe tunafahanu kinachoendelea

Chama ni taasisi na kinaongozwa na taratibu/sheria pamoja na maamuzi ya vikao vya ndani. Kuna mambo ya kukabiliana na propaganda na taarifa za ufafanuzi ambazo zinaweza zikatolewa na kurugenzi ya mawasiliano ndani ya muda mfupi, lakini kwa mambo mazito kama hayo unayosema ni lazima kuwe na kikao kwanza kabla ya kutoa Maamuzi.
Sasa ina maana bado hujasikia kuwa, kuna kikao cha Baraza Kuu, na agenda kuu ndiyo hiyo.
 
Sio siri kuwa wananchi wengi wanaamini TZ kuna watawala wawili- kutokea magogoni na wale kutokea CHADEMA (Slaa etc). Kunapokuwa na hali tete katika nchi tunategemea tamko/action kutoka either side of the camps. Upande mmoja ukiboronga hasa ule wenye dola tunategemea kauli thabiti kutoka CHADEMA.

Chadema bado hawajajifunza ku capitalize udhaifu wa serikali na CCM na kutoa hoja mbadala. Baada ya bunge kuahirishwa nilitegemea uongozi wote wa makamnada kuitisha hata press conference kulieleza Taifa nini kinafuata baada ya hapo. Ndo maana hata JK nasikia alisema huu ni upepo utapita tu... kwa vile anajua Watanzania wanapiga kelele halafu baada ya wiki wanasahau na mambo yanaendelea.

Tafadhali CDM hali ilipofika sio ya kuacha hivi hivi tunaomba kauli thabiti ya CDM nini kinafuata baada ya sintofahamu hii ya bunge ili wananchi tuwe tunafahanu kinachoendelea
Chadema ni chama makini, be abreast with the news.
 
Si umeambiwa 29,April baraza kuu linakaa kaka,hebu tuwaache tuone watatupa kitu gani kipya.
 
Back
Top Bottom