William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Siwezi kupinga kuwa CHADEMA sasa ndio chama chenye wanasiasa wazalendo na uwezo mkubwa.
Pia ni chama kilipata nguvu sana kwa makundi ya Wasomi, Vyuoni na Vijana wa mjini wasomi na Watumishi wa uma.
Ila kuchukua nchi 2015 kwa kasi hii bado sana kwa CCM. Wakati wote wanachadema wanajipa moyo ila safari kasi haitoshi.
CCM Mbali na kujivunia tume ya uchaguzi, Polisi na sasa mahakama kuhakikisha wanashinda bado wanakundi kubwa linalowaunga mkono.
1.'WAJINGA' wasiojua kusoma. Waliko vijijini. Nilisimamia uchaguzi 2010 hawa ni zaidi 39% Tabora vijijini hii ni amini usiamini. Kila asiyejua kusoma ni CCM.
2. Kundi la wenye elimu ndogo ya kusoma na kuandika tu. Wepesi kurubunika na nyimbo nzuri za komba. Amani na utulivu na waoga wa mabadiliko
3. Kundi la wanawake ambao mantiki yao ya kupenda CCM ama woga wa mabadiliko. Au huruma ya kumtoa kiongozi aliyopo au Wakiamini wanasiasa wote waongo tu. Kama wanaume wanavyowadanganya kilasiku na kuwachezea tu. Watu hawa wanatakiwa kuanza kujihurumia wao kwanza na si viongozi wenye magari mazuri.
4.wasijiojiamini ambao hawaamini karatasi zinaweza kuondoa selikali madarakani. Watu hawa wako CCM kwa woga na ni wengi mno na wengi huwa hawapigi kura.
Pili CCM Kutumia wanamziki maarufu kama Chege, Diamond, Bushoke, Ngwea na Marlow huwa kunawaongezea kura za mabinti.
Umasikini na Njaa bado ni donda linawafanya watanzania wahongeke kirahisi. Kama mitambo ya Dowansi sasa Simbion imewashwa na inaizua Tanesco umeme kwa bei ghali sipati picha Rostamu na Rowasa atakuwa na tririon kumi na ngapi mwaka 2015. Na watashindwaje kuchukua nchi na kutupangia wabunge wawatakao.
Kwa ujumla CHADEMA Wanakazi kwelikweli. Ila ushauri wangu kwao Inabidi wazindue kampeni za mtu na mtu mtaa kwa mtaa. Tena waanze ufunguzi na uimalishaji matawi vyuovikuu. Mbona CCM wanayo. Wawaandae wasomi hawa kugombea udiwani kwani ni kiungo muhimu kwa madaraka. Kwani halmashauri zinafedha zinaibwa tu na wakuu wa idara. Diwani anaweza kulipwa mpaka laki 6 kwa mwezi tukidhamilia. Pili naamini kutakuwa na muhitimu wa chuo kikuu kila kata hivyo udiwani kuwa ajira kwani vyuo ni vingi na hakuna ongezeko kubwa la nafasi za ajira'
Walimu wa sekondari hasa za kata watumie ata sekunde 5 kwenye kipindi kuweka hisia zao za madiliko kwa wanafunzi ata kwa kuonesha vidole 2, kuisifu chadema kwa neno moja tu au kuwapa machungu jinsi nchi ilivyowatenga
Kumbuka chadema inaitaji ushindi wa 80% kuchukua nchi wakati CCM inaitaji 30% tu. Yani chadema bado sana
Pia ni chama kilipata nguvu sana kwa makundi ya Wasomi, Vyuoni na Vijana wa mjini wasomi na Watumishi wa uma.
Ila kuchukua nchi 2015 kwa kasi hii bado sana kwa CCM. Wakati wote wanachadema wanajipa moyo ila safari kasi haitoshi.
CCM Mbali na kujivunia tume ya uchaguzi, Polisi na sasa mahakama kuhakikisha wanashinda bado wanakundi kubwa linalowaunga mkono.
1.'WAJINGA' wasiojua kusoma. Waliko vijijini. Nilisimamia uchaguzi 2010 hawa ni zaidi 39% Tabora vijijini hii ni amini usiamini. Kila asiyejua kusoma ni CCM.
2. Kundi la wenye elimu ndogo ya kusoma na kuandika tu. Wepesi kurubunika na nyimbo nzuri za komba. Amani na utulivu na waoga wa mabadiliko
3. Kundi la wanawake ambao mantiki yao ya kupenda CCM ama woga wa mabadiliko. Au huruma ya kumtoa kiongozi aliyopo au Wakiamini wanasiasa wote waongo tu. Kama wanaume wanavyowadanganya kilasiku na kuwachezea tu. Watu hawa wanatakiwa kuanza kujihurumia wao kwanza na si viongozi wenye magari mazuri.
4.wasijiojiamini ambao hawaamini karatasi zinaweza kuondoa selikali madarakani. Watu hawa wako CCM kwa woga na ni wengi mno na wengi huwa hawapigi kura.
Pili CCM Kutumia wanamziki maarufu kama Chege, Diamond, Bushoke, Ngwea na Marlow huwa kunawaongezea kura za mabinti.
Umasikini na Njaa bado ni donda linawafanya watanzania wahongeke kirahisi. Kama mitambo ya Dowansi sasa Simbion imewashwa na inaizua Tanesco umeme kwa bei ghali sipati picha Rostamu na Rowasa atakuwa na tririon kumi na ngapi mwaka 2015. Na watashindwaje kuchukua nchi na kutupangia wabunge wawatakao.
Kwa ujumla CHADEMA Wanakazi kwelikweli. Ila ushauri wangu kwao Inabidi wazindue kampeni za mtu na mtu mtaa kwa mtaa. Tena waanze ufunguzi na uimalishaji matawi vyuovikuu. Mbona CCM wanayo. Wawaandae wasomi hawa kugombea udiwani kwani ni kiungo muhimu kwa madaraka. Kwani halmashauri zinafedha zinaibwa tu na wakuu wa idara. Diwani anaweza kulipwa mpaka laki 6 kwa mwezi tukidhamilia. Pili naamini kutakuwa na muhitimu wa chuo kikuu kila kata hivyo udiwani kuwa ajira kwani vyuo ni vingi na hakuna ongezeko kubwa la nafasi za ajira'
Walimu wa sekondari hasa za kata watumie ata sekunde 5 kwenye kipindi kuweka hisia zao za madiliko kwa wanafunzi ata kwa kuonesha vidole 2, kuisifu chadema kwa neno moja tu au kuwapa machungu jinsi nchi ilivyowatenga
Kumbuka chadema inaitaji ushindi wa 80% kuchukua nchi wakati CCM inaitaji 30% tu. Yani chadema bado sana