Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
hiyo ni uhakika mkuu nanyaro,hapa kata ya themi watu wa ccm kama kina lobora wanaweka vikao usiku kupanga hayo mambo.
Usitishike na vikao, uchaguzi ukiitishwa ndiyo utajua Arusha inaongozwa na akina nani? Yaani utafurahi na kuchekelea wewe wenyewe baada ya kujiuliza mbinu za vile vikao zimeishia wapi baada ya hali kuwa mbaya.