Anazungumzia vya majimbo sio special seats mzee,ni kweli mmeshinda mara 23 tu majimboni,vingi mmepata vya kina mama ndio vinawatia kiburi lakini majimboni mmekataliwa vibaya licha ya operesheni sangara ambayo sasa mnaiit m4c,wizi mtupu wa kichagga
Chadema ni genge lisilokuwa na uongozi madhubuti, chama kinachoongozwa na JAZBA pasipo uelekeo maalum
Huwezi kuwa na wabunge 23 halafu ukasema umeshinda urais, halafu hapo hapo unasema una nguvu ya umma.
kwa kutumia mabovu mmeiba kura ngapi? Na mlinunua shahada ngapi na vituo hewa vingapi semeni sana lakini 2015 iwe isiwe mkijaribu khujumu uchaguzi yatatokea ya kenya afadhari wafe wache iwe ni amani kwa nchi kuliko kuongozwa na wezi wa rasilimali za taifa you wait and you will see 2015huwezi kuwa na wabunge 23 halafu ukasema umeshinda urais, halafu hapo hapo unasema una nguvu ya umma.
Chadema ni genge lisilokuwa na uongozi madhubuti, chama kinachoongozwa na JAZBA pasipo uelekeo maalum
magamba yana lia lia sana wivu tu tatizo nini?? mbona CDM wako poa tu wanaendelea na M4C