uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,459
- 904
Me namuonaga kama taahila flani asiyejielewa wala kujua anataka nini?We jamaa upo kama kinyonga! Hujulikani rangi yako halisi.
Yupoyupo kama malaya anataka kila upande awepo.
Me namuonaga kama taahila flani asiyejielewa wala kujua anataka nini?We jamaa upo kama kinyonga! Hujulikani rangi yako halisi.
Sidhani kama na yeye anasali dhehebu la katolikiHahahhaha.. Supika wake huyu hapaView attachment 2722809
Kwanini isijadiliwe na bunge?. Ukiona hivyo ujue bunge limepwaya.View attachment 2722787
Kwanini hii mikataba mibovu ya kumaliza Wanyamapori wetu haijadiliwi na TEC?
Siyo wabunge wote waliukubali ila walisubiri muda muafaka waseme ukweli. Huyu dhamira imemsuta akasema ya moyoni.We mbunge Bora ungepiga kimya unajiaibisha Sana,yaani unakaa kwenye chombo Cha maamuzi halafu kumbe ni maimuna! Looooooh! Na kesi tunazoshindwa huko nje na kulipa mapesa ya faini kumbe mfumo ndiyo huu huu.kwa hivyo kumbe akina mwabukusi wako sahihi!
Bora akae upande wa wananchi na moyo wake utulie kuliko kukaa kwenye chama huku nafsi ikikusuta.Moyo umemsuta
Ajachelewa na yupo sahihi ila chamani atakuwa hayupo salama tumuombee
Niliwahi sikia yupo EAGTSidhani kama na yeye anasali dhehebu la katoliki
Wanasheria gani Hawa wanaojitetea kwenye mahakama za kimataifa kuwa wameamka vibaya ndio maana hawaelewi kinachoulizwa mahakamani.Kuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.
Naona watu wamemsusia benchi kakaa mwenyewe.Hahahhaha.. Supika wake huyu hapaView attachment 2722809
Tec kama wana mtandao mkubwa basi watusaidie tupate KATIBA MPYA waache hizi mbwembweKwanini isijadiliwe na bunge?. Ukiona hivyo ujue bunge limepwaya.
Itakuwa alifuata maagizo kutoka kwenye Mhimili uliojichimbia. Si unamwona leo akili ilivyokaa sawa akisikiliza waraka.Kiukweli tulia hapa aliwaburuza wabunge na alichagua kabisa watu wa kuchangia ,wale watu wa maana waliwekwa pembeni
Hapana ndugu, hili la kugawa rasilimali ya kiuchumi bila hata ubia ni kubwa kuliko katiba mpya. Huu mkataba ni utumwa mambo Leo.Tec kama wana mtandao mkubwa basi watusaidie tupate KATIBA MPYA waache hizi mbwembwe
Unaweza kuwa hujui,KATIBA MBOVU ndio kiini cha yote haya yanayotendeka leoHapana ndugu, hili la kugawa rasilimali ya kiuchumi bila hata ubia ni kubwa kuliko katiba mpya. Huu mkataba ni utumwa mambo Leo.
Mbona kuna chupa yenye bia ndani yake, kanisa linahusika na bia?
"Rais sa100 ametia saini mkataba bora na uliotukuka utakaowanufaisha wananchi wa kijani hivyo kuwafanya wawe na nyuso za furaha na matumaini" Lucas mwashambwa
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile a