Certified Information Systems Auditor (CISA) Review Class

True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 03/07/2017, Dar Es Salaam City Center.
Kozi ni ya week tano (5), kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa , saa 11:00 Jioni hadi saa 2:00 Usiku. Fee ni Tsh. 700,000/= ikijumlisha review, materials na database ya maswali na majibu.

Kwa maelezo zaidi tupigie kupitia +255 713451713/0764978313
Email: mujinja@hotmail.com, info@trueinkassociates.co.tz
Contact person ::: Sam Mujinja
ada ya mtihani ngap na cheti napateje
 
ada ya mtihani ngap na cheti napateje

Ukitaka kufanya mtihani kwanza unaingia kwenye website ya www.isaca.org unafanya registration, na fee inategemeana kama wewe ni member wa isaca ama non member...fee ina range between ysd 650 had usd 760 na unalipa bank kwenda kwenye acount ya isaca international.. na kama ukishafaulu unatumiwa cheti chako.mtihani wa cisa una maswali 150 na muda wa mtihani ni masaa 4..hivo ukipata maswali yote 150 unapata total mark ya 800..lakini ili uweze kufaulu unatakiwa upate kuanzia marks 450 na kuendelea, kwa maelezo zaidi tupigie 0713 451713
 
Darasa Jipya la CISA litaanza trh 08/01/2018. kwa mawasiliano tupigie 0713 451713 or 0788 111237. karibuni
 
CISA Review class inaanza Leo trh 08/01/2018. karibuni wote..kwa mawasiliano tafadhali tupigie 0788 111237
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom