CEO wa Open AI ambayo inamiliki Chat GPT kaolewa na dume jenzake

def_xcode

JF-Expert Member
Jul 25, 2023
596
1,620
Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch
 
Hivi kwanin watu wenye tabia mbaya hufanikiwa sana dunian materially!
Shetani yupo nyuma yake.
Zile NGO 's zilizokamatwa zikienezwa ushoga unadhani zilimwagiwa bei Gani.Ni madola toka freemason.
Lengo ni ili Mungu akasirike
 
  • Thanks
Reactions: A43
tena sana wauza madawa ya kulevya, wauaji, watekaji, mafisad, nk kuna muda hadi nawaza hv au binadamu wengine tunaish kinyume nyume
ukute kuna taarfa kama za dini ni kwa ajiri ya kupumbazana ili waovu waishi vizuri kwa mgongo wa ujinga wa wengine.
Nature yenyewe ni ya kulana tangu uwepo wake.
 
Bado unashangaa ushoga nchi za magharibi? Kwao ni kawaida sana. Mtu anajitangaza yupo hivyo toka high school, kuolewa akiwa anaelekea 40 sio habari tena. Cha kufanya chukua kwao kinachokufaa, kisha mambo yao waachie wenyewe. Maana usipofanya hivyo ni utashangazwa kila siku.
 
GDj4IqzWkAABOXm.jpg
 
Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch

we unavopenda kufuatilia habar za wasenge upo mbioni naww kuliwa 0712…
Dalili za kwanza huwa ni kufuatilia habar zao
Dalili ya pili kuingia kwene dating site
Dalili ya tatu n kujaribu
ukifika hapo wewe utakua unaitwa “anti Def”

“what you focus grows”
 
Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch
Ata ceo wa apple tim cook ni shoga
 
we unavopenda kufuatilia habar za wasenge upo mbioni naww kuliwa 0712…
Dalili za kwanza huwa ni kufuatilia habar zao
Dalili ya pili kuingia kwene dating site
Dalili ya tatu n kujaribu
ukifika hapo wewe utakua unaitwa “anti Def”

“what you focus grows”
Sam Altman ni mtu maarufu kwenye tech kwa sasa na ndio maana mwaka jana alikuwa CEO of the year. So, kwa mtu yeyote anayefuatilia tech hajatoka bush kama wewe lazima habari hii akutane nayo. Hakuna kitu kwa mwaka jana kimekuwa mashuhuri kama chatgpt na vyote vimeenda sambamba na jina lake. Yani huwezi kuzungumzia cahtgpt bila kutaja jina lake.
 
Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch

Kuna na jingine huku pelekewa moto ufaransa huko:

IMG_20240113_164056.jpg


Gabriel Attal: Macron's pick for PM is France's youngest at 34
 
Back
Top Bottom