wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
A MAN OF THE PEOPLE
Habari zaidi soma hapa:
MICHUZI: kassim manara akutana na wenzie wa enzi ya yanga wa miaka 25 ilopita
kwani CEO wa TRA au PPF wanakuwa wapi wakati wa free time zao?
kwani CEO wa TRA au PPF wanakuwa wapi wakati wa free time zao?
Unafikiri kila mtu anapenda kwani haiwezekani, yeye nani asiweze fanya hivyo. hao ni wenye roho mbaya ndiyo wanasema kuwa imetengenezwa.Kama walivyosema wengine katika hiyo thread ya Michuzi, hiyo picha haina ushirikiano. Imetengenezwa tu! acha hadaa
Dr. Ramadhani Dau amejaa udini kulikp mtu yeyote hapa duniani. Kila aliyemteua ni dini yake.
Yule mwingine aliyekuwa CEO wa PPF halafu akaja ATCL na baadaye kujikuta yupo Kisutu kwa mara ingine tena(ya kwanza alipokuwa PPF,ya pili akiwa ATCL hivi majuzi)utamukuta kila Jumapili never miss kuanzia saa 4 asubuhi Miller Bar Sinza akiwa na jamaa zake ambao wamemuganda kama kupe wa umasainikwani CEO wa TRA au PPF wanakuwa wapi wakati wa free time zao?
Dr. Ramadhani Dau amejaa udini kulikp mtu yeyote hapa duniani. Kila aliyemteua ni dini yake.