CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz
 
Ajali ya gari ilimuuwa Chacha Wangwe....period and case closed....CDM haiuwi wanachama wake. Coming back to your CCM.

Ni nani aliwaua hawa?
  1. Horace Kolimba
  2. Edward Sokoine
  3. Dr Nicas Mahinda
  4. Abdallah Kassim Hanga
  5. Sheikh Othman Shariff
  6. Gibbons Mwaikambo
  7. Ipyana Malecela
Niongeze list?
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz
Aliuwawa na Suzuki vitara kwakushirikiana na Zimwi Ajali ikiongozwa na Kijana mwenye itikadi ya CCM!!Zaidi unaweza kwenda Kikosi cha Usalama Barabarani kituo cha Kati pale Dodoma wakakupa habari za kiinterejensia kama wewe unaamini alikuwa anagombea uenyekiti!
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz

Yaaani unaleta topic halafu mwenyewe unaona aibu du!
 
Ajali ya gari ilimuuwa Chacha Wangwe....period and case closed....CDM haiuwi wanachama wake. Coming back to your CCM.

Ni nani aliwaua hawa?
  1. Horace Kolimba
  2. Edward Sokoine
  3. Dr Nicas Mahinda
  4. Abdallah Kassim Hanga
  5. Sheikh Othman Shariff
  6. Gibbons Mwaikambo
  7. Ipyana Malecela
  8. Immrani Kombe
Niongeze list?
Bila kusahau............Basi naishia hapo wengine wajaze!!!
 
tafuta CV ambayo ni full detailed ya Kijana Deus Mallya, then utapata jibu!!! Nyendo za kijana Deus Mallya siku 3 (specifically zenye association na Chacha wangwe) kabla ya kulazimisha kumuendesha Chacha Wangwe then utapata jibu!!!

Hamkomi tu!! Mnaazishaga matope kwa CDM yanayojiosha yenyewe then mnaingia mitini then mnayarudia tena!!!
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz


1.
Today 09:54 AM
Topic: CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?
by KAUMZA

Replies
4
Views
2

CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?

Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani...

2.
Today 09:44 AM
Topic: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?
by KAUMZA

Replies
33
Views
882

Re: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?

Hata Marehemu CHACHA WANGWE wa TARIME alipotezwa kwa kuwa alitaka kugombea uenyekiti wa CDM Taifa

3.
Today 09:11 AM
Topic: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk
by KAUMZA

Replies
27
Views
411

Re: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk

Vipi kama angemsifia Dr Slaa? Mngemsakama na kumnanga? SHAME ON YOU

4.
Today 09:00 AM
Topic: Babu Mwasapile aungana na Rostam
by KAUMZA

Replies
6
Views
114

Babu Mwasapile aungana na Rostam

Hatimaye mch. mstaafu mzee Mwasapile ameungana na mbunge wa Igunga Bwana Rostam Aziz kwa kuwataka wagonjwa wanaopata tiba ya "kikombe" kuendeleana dawa za hospitali kama kawaida.

Hili limejitokeza...

5.
27th March 2011 08:08 AM
Topic: CCM kidedea umeya Sumbawanga
by KAUMZA

Replies
7
Views
206

CCM kidedea umeya Sumbawanga

Kwa mara nyingine tena CCM kimetwaa kiti cha umeya ktk manispaa ya Sumbawanga baada ya meya wa awali kujiuzulu kutokana na "kashfa" ya kuwa na elimu ndogo.

6.
21st March 2011 07:45 PM
Topic: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria
by KAUMZA

Replies
9
Views
127

Re: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria

Ulichokisema ni kweli kabisa. Kimsingi kuna wanasheria wengi sana humu jukwaani. Wanasheria makini, Wanasheria vilaza na wanasheria pori"bush lawyers". Kwanini jukwaa hili limekosa msisimko ni kuwa...

7.
13th March 2011 08:09 PM
Topic: JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar
by KAUMZA

Replies
21
Views
269

JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar

Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko...

8.
11th March 2011 07:03 PM
Topic: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania
by KAUMZA

Replies
3
Views
66

Re: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania

Hata mkiandamana na kuchochea uasi, dola hamshiki ng'o!!

9.
11th March 2011 06:50 PM
Topic: Lowassa ni kiona mbali
by KAUMZA

Replies
33
Views
785

Lowassa ni kiona mbali

Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia...

10.
5th March 2011 09:54 PM
Topic: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)
by KAUMZA

Replies
763
Views
9,518

Sticky: Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924/1968)

Acha unafiki wewe. Lini uliwahi kupita jirani na msikiti ukashukiwa? Au unaugonjwa wa phobia? Our son to be saint(Nyerere) alikuwa kila mara akienda kwa sheikh Ramia Bagamoyo kuombewa dua....

11.
5th March 2011 07:36 PM
Topic: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania
by KAUMZA

Replies
3
Views
98

Re: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania

Kwa hiyo?

12.
5th March 2011 07:18 PM
Topic: Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"
by KAUMZA

Replies
46
Views
879

Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"

Akina mama waumini wa kanisa Katoliki wilayani Songea waamepinga vitendo vya wanasiasa walafi wa madaraka wanaotaka kuiingiza nchi ktk machafuko. Wameahidi kufunga ili pepo mchafu aweze kupita...

13.
5th March 2011 06:34 PM
Topic: Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA
by KAUMZA

Replies
64
Views
1,380

Re: Kamanda DJ MBOWE Vs Dr SLAA

Umesomea wapi wewe! Unaweza kuniruhusu nihoja IQ yako? Jamani kwani ni lazima ulinganishe official functions zao. You can compare even their behaviour, pia hata style yao ya maisha. Mfano, mmoja ni...

14.
5th March 2011 05:43 PM
Topic: Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA
by KAUMZA

Replies
64
Views
1,380

Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA

Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani...

15.
2nd March 2011 07:34 PM
Topic: Dr Slaa atuhumiwa kuzua kifo cha Dr Yohana Balele.
by KAUMZA

Replies
48
Views
1,793

Nikisema , nikabezwa: Imedhihiri, Dr SLAA SI MKWELI

Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa...

16.
2nd March 2011 05:01 PM
Topic: Rais Kikwete mgeni rasmi mei mosi 2011
by KAUMZA

Replies
9
Views
245

Rais Kikwete mgeni rasmi mei mosi 2011

Kiukweli nimefurahishwa na taarifa kuwa TUCTA itamualika Rais JK kuwa mgeni rasmi katika mei mosi, tofauti na mwaka jana. Najua taarifa hii imewauma sana wale wanaopenda JK adhihakiwe na aonekane...

17.
28th February 2011 08:52 PM
Topic: Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Februari, 2011
by KAUMZA

Replies
526
Views
15,191

Viva Kikwete, Long live baba

Umenena! Hakika umenena! Wameshindwa mechi uwanjani na sasa wanategemea kupata ushindi nje ya uwanja. Ni wachochezi na tutawakataa. Na mchezo wao ni maafa kwetu.

Umetutoa tongotongo, na sasa...

18.
28th February 2011 03:22 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA

Replies
29
Views
564

Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi

Punguza hasira!!! Alikwambiaa nini?

19.
27th February 2011 10:11 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA

Replies
29
Views
564

Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi

Miaka michache iliyopita nilikuwa mwanachama wa magazeti ya JITAMBUE na MSAURI WAKO. Kuna siku nilisoma kisa cha dada mmoja ambaye alieleza kuwa alitaka kujiua kwa kuwa mpenzi wake kamwambia kuwa ana...

20.
27th February 2011 09:43 PM
Topic: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi
by KAUMZA

Replies
29
Views
564

Re: Vijimambo katika mahusiano ya kimapenzi

Ninakumbuka vema ilikuwa siku chache kabla ya harusi yangu kijijini kwetu, mimi nikiwa finalist UDSM na mchumba(mke wangu kwa sasa) alipokuja Hall 5 chumba namba 1279 na ktk maongezi yetu...

Results 1 to 20 of 92
 
Ajali ya gari ilimuuwa Chacha Wangwe....period and case closed....CDM haiuwi wanachama wake. Coming back to your CCM.


Ni nani aliwaua hawa?
  1. Horace Kolimba
  2. Edward Sokoine
  3. Dr Nicas Mahinda
  4. Abdallah Kassim Hanga
  5. Sheikh Othman Shariff
  6. Gibbons Mwaikambo
  7. Ipyana Malecela
Niongeze list?
.....8.Kigoma Malima
9. Julius Nyerere
10....................
 
TISS kwa kushirikiana na CCM kwa lengo la kuwaangushia jumba bovu CHADEMA, lakini Mungu si Athumani, lengo hilo halikufikiwa na hadi leo CDM inazidi kuitesa CCM hadi inaamua kutumia silaha ya maanagamizi ya UDINI ili kuiangamiza CDM, na silaha hii pia imekula kwao CCM kwani Waislamu inaotaka kuwatumia kwa malengo yao ya kisiasa wamekerwa sana na ushenzi huu wa mafisadi kuitumia dini yao kama kichaka cha kuficha ufisadi wao.
 
Ajali ya gari ilimuuwa Chacha Wangwe....period and case closed....CDM haiuwi wanachama wake. Coming back to your CCM.

Ni nani aliwaua hawa?
  1. Horace Kolimba
  2. Edward Sokoine
  3. Dr Nicas Mahinda
  4. Abdallah Kassim Hanga
  5. Sheikh Othman Shariff
  6. Gibbons Mwaikambo
  7. Ipyana Malecela
Niongeze list?

prof. Chachage nae umemsahaau! Alikufa baada ya kuhutubia mkutano. Inasemekana microphone iliyoandaliwa na inasemekana alipata allergy kwenye kipaza sauti icho. Tanzania bwn!
 
1.
Today 09:54 AM
Topic: CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?
by KAUMZA

Replies
4
Views
2

CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?

Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani...

2.
Today 09:44 AM
Topic: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?
by KAUMZA

Replies
33
Views
882

Re: Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?

Hata Marehemu CHACHA WANGWE wa TARIME alipotezwa kwa kuwa alitaka kugombea uenyekiti wa CDM Taifa

3.
Today 09:11 AM
Topic: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk
by KAUMZA

Replies
27
Views
411

Re: MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk

Vipi kama angemsifia Dr Slaa? Mngemsakama na kumnanga? SHAME ON YOU

4.
Today 09:00 AM
Topic: Babu Mwasapile aungana na Rostam
by KAUMZA

Replies
6
Views
114

Babu Mwasapile aungana na Rostam

Hatimaye mch. mstaafu mzee Mwasapile ameungana na mbunge wa Igunga Bwana Rostam Aziz kwa kuwataka wagonjwa wanaopata tiba ya "kikombe" kuendeleana dawa za hospitali kama kawaida.

Hili limejitokeza...

5.
27th March 2011 08:08 AM
Topic: CCM kidedea umeya Sumbawanga
by KAUMZA

Replies
7
Views
206

CCM kidedea umeya Sumbawanga

Kwa mara nyingine tena CCM kimetwaa kiti cha umeya ktk manispaa ya Sumbawanga baada ya meya wa awali kujiuzulu kutokana na "kashfa" ya kuwa na elimu ndogo.

6.
21st March 2011 07:45 PM
Topic: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria
by KAUMZA

Replies
9
Views
127

Re: Jukwa la sheria lisilo na wanasheria

Ulichokisema ni kweli kabisa. Kimsingi kuna wanasheria wengi sana humu jukwaani. Wanasheria makini, Wanasheria vilaza na wanasheria pori"bush lawyers". Kwanini jukwaa hili limekosa msisimko ni kuwa...

7.
13th March 2011 08:09 PM
Topic: JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar
by KAUMZA

Replies
21
Views
269

JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar

Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko...

8.
11th March 2011 07:03 PM
Topic: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania
by KAUMZA

Replies
3
Views
66

Re: Upe tafsiri msemo huu katika medani za siasa za Tanzania

Hata mkiandamana na kuchochea uasi, dola hamshiki ng'o!!

9.
11th March 2011 06:50 PM
Topic: Lowassa ni kiona mbali
by KAUMZA

Replies
33
Views
785

Lowassa ni kiona mbali

Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia...

10.
5th March 2011 09:54 PM
Topic: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)
by KAUMZA

Replies
763
Views
9,518

Sticky: Re: Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924/1968)

Acha unafiki wewe. Lini uliwahi kupita jirani na msikiti ukashukiwa? Au unaugonjwa wa phobia? Our son to be saint(Nyerere) alikuwa kila mara akienda kwa sheikh Ramia Bagamoyo kuombewa dua....

11.
5th March 2011 07:36 PM
Topic: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania
by KAUMZA

Replies
3
Views
98

Re: kauli za ccm ndio zinaweza kuvunja amani nchini tanzania

Kwa hiyo?

12.
5th March 2011 07:18 PM
Topic: Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"
by KAUMZA

Replies
46
Views
879

Wanawake wakatoliki Songea wawapinga"CDM"

Akina mama waumini wa kanisa Katoliki wilayani Songea waamepinga vitendo vya wanasiasa walafi wa madaraka wanaotaka kuiingiza nchi ktk machafuko. Wameahidi kufunga ili pepo mchafu aweze kupita... MHHH...NLITAKA KUMJIBU KAUMU,lakini kwa nukuu hizi,mi namuacha atape tape,DEUS MALLYA ALIeFuenza na govt.ana jibu. Pia hata mtikila mch.KRISTOFA ALIJIBIWA NA RAIA WA TARIME NA ALIKILI KWA WARAKA KWENYE MIDIA KUWA CCM ILIMTUMA MSIBANI ILA RAIS WALIMTOA BARU!
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz

Alikufa kwenye ajali ya gari wakati akisafiri kutoka Dodoma kuja Dar.
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz
Mama yako mzazi
 
Ah, kumbe kuna watu wanaweza kutoa uhai wa mtu ili kufanikisha mambo yao, haya, kama kweli Mungu yupo anawsubiri.
 
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz

Alifariki kwenye ajali ya gari.
 
:embarassed2:


Nenda kamuulize DPP au kitengo chenu Intelijensia na wale wanaowasiadia kushinda chaguzi za kisiasa sijui ndo mnawaita UWT vile.........
 
Back
Top Bottom