Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani Chama chake kinaweza kutupa jibu makini la nini hasa chanzo cha kifo cha Chacha Wangwe? Je, ni mkakati wa CDM ktk kumzuia asigombee u-chair wa CDM?
Ufafanuzi plz
Ufafanuzi plz