CDM itaendelea kuvumilia undumira kuwili wa Zitto Kabwe mpaka lini?

Byendangwero

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
871
56
Baada ya bodi ya Tanesco kumsimamisha mkugenzi wa shirika hilo la umma kwa tuhuma za ufizadi Zitto Kabwa alijitokeza hadharani kupinga hatua hiyo, na tangu wakati huo vyombo vingi vya habari vimekua vina,taja kuwa miongoni mwa wabunge waliopewa hongo na hao watendaji waandamizi wa Tanesco waliosimamishwa ili kuwatetea. Kwakua Zitto mwenyewe hajazikana habari hizo, nachukulia ni za kweli. Leo hii kambi ya upinzani, ambayo Zitto ni maibu kiongozi wake, imetoa msimamo wake kuhusiana na sakata hilo la Tanesco,; msimamo huo wa kambi la upinzani unakinzama kabisa na msimamo alionao Zitto juu ya suala hilo. Ni jambo la kawaida kwa watu waliyo kwenye kambi moja kuhitirafiana kimawazo; hata hivyo panapojitokeza hali hiyo, haina budi wahusika wote wajadiliane ili upatikane muafaka, baada ya hapo kila mtu ndani ya kambi hiyo anatakiwa kutoonyesha upinzani wowote juu ya muafaka huo hadharani. Kwa mtu yeyote ambaye amekuwa akifuatilia mwenedo wa Zitto atakubaliana na mimi kwamba mara nyingi Zitto upendelea kujitokeza hadharani na msimamo unaokinzama na wawenzake, Kisaikolojia janbo hilo siyo la ajabu , kwani inaeleweka kwamba miongoni mwa watu **** wale wanaoitwa "achievers", hao kwa kawaida siyo "team player" kwani kila nara wao wanachokipa umuimu siyo mafanikio ya timu yote bali mafanikio ya wao wenyewe binafsi. Hata hivyo katika suala hili la Zitto tatizo siyo tu la kuwa "achiever", inaonekana tatizo ni kubwa zaidi ya hapo; yeye anaonekana misimamo yake mingi inachukuliwa kwa lengo la kukidhi maslahi ya baadha ya makundi kwenye chama tawala, hata kwenye ili sakata la Tanesco ni dhahili Zitto amekuwa akijitahidi kusimamia maslahi ya akins Rostamali
 
Hata mie nina mashaka na huyu Zitto kwasababu nilipokuwa nasikiliza mchango wa Vicky Kamata ambae amelaani sana jinsi mgao feki unavyotengenezwa na baadhi ya watu kwenye management ya Tanesco wakishirikiana na baadhi ya wabunge zimesikika sauti za chini za Wabunge zikimtaja Zitto kwamba ni miongoni mwao kwahiyo tunataka kuujua ukweli kuhusu ushiriki wa Zitto katika hili.
 
ni kweli Zitto Kabwe ni kijana machachari hapa Tanzania, lakini hii haina maana ya kwamba vijana wengine wa Kitanzania ni mazuzu. kwa kuwa wa TZ kwa ujumla wao wamekuwa makini na nchi tao ndio maan tunaona viongozi wa serikali wanavyohanyahanya na kujichanganya katika mbinu chafuchafu. sasa Zitto amelewa sifa na anataka kutufanya sisi vijana wengine ni mazuzu hapa amechemsha. mbinu yake ya kutumia gazzette la mwananchi inamtesa sasa. na kwa hili la TANESCO linamwondoa kwenye reli kabisa. CHADEMA sio dhaifu wala hawezi kuivuruga kirahisi kwa namna anazotumia! na kama anaona CHADEMA ni ya kikanda basi aondoke.... mimi ni mwenyeji wa MBEYA na sio mchagga lakini kwa sasa nina matumaini na CHADEMA na mbunge wangu SUGU, lakini wewe Zitto na mwenzio KAFULILA *mna penda kuonekana mna mawazo tofauti na misimamo ya vyama vyenu sasa *nio bora muondoke, kwanza mnatutota kwenye reli ya kujadili mambo mengine ya msingi yani sijui mnatumwa au vp, so disgusting.
 
Zitto ni zaidi ya tumjuavyo, yupo kimalshi zaidi.... ni yeye yule aliyegeuka wenzie wote na kuanza kupigia chapuo serekali inunue mitambo ya dowans (symbion)...mda mfupi akaanza kuendesha Hammer...sinema inaendelea hivi karibuni makapi na mchele vitajitenga vyenyewe...Nilikuwa namkubali sana kama kiongozi wangu toka DARUSO lakini sas ...NIMESTUKA....
 
Baada ya bodi ya Tanesco kumsimamisha mkugenzi wa shirika hilo la umma kwa tuhuma za ufizadi Zitto Kabwa alijitokeza hadharani kupinga hatua hiyo, na tangu wakati huo vyombo vingi vya habari vimekua vina,taja kuwa miongoni mwa wabunge waliopewa hongo na hao watendaji waandamizi wa Tanesco waliosimamishwa ili kuwatetea. Kwakua Zitto mwenyewe hajazikana habari hizo, nachukulia ni za kweli. Leo hii kambi ya upinzani, ambayo Zitto ni maibu kiongozi wake, imetoa msimamo wake kuhusiana na sakata hilo la Tanesco,; msimamo huo wa kambi la upinzani unakinzama kabisa na msimamo alionao Zitto juu ya suala hilo. Ni jambo la kawaida kwa watu waliyo kwenye kambi moja kuhitirafiana kimawazo; hata hivyo panapojitokeza hali hiyo, haina budi wahusika wote wajadiliane ili upatikane muafaka, baada ya hapo kila mtu ndani ya kambi hiyo anatakiwa kutoonyesha upinzani wowote juu ya muafaka huo hadharani. Kwa mtu yeyote ambaye amekuwa akifuatilia mwenedo wa Zitto atakubaliana na mimi kwamba mara nyingi Zitto upendelea kujitokeza hadharani na msimamo unaokinzama na wawenzake, Kisaikolojia janbo hilo siyo la ajabu , kwani inaeleweka kwamba miongoni mwa watu **** wale wanaoitwa "achievers", hao kwa kawaida siyo "team player" kwani kila nara wao wanachokipa umuimu siyo mafanikio ya timu yote bali mafanikio ya wao wenyewe binafsi. Hata hivyo katika suala hili la Zitto tatizo siyo tu la kuwa "achiever", inaonekana tatizo ni kubwa zaidi ya hapo; yeye anaonekana misimamo yake mingi inachukuliwa kwa lengo la kukidhi maslahi ya baadha ya makundi kwenye chama tawala, hata kwenye ili sakata la Tanesco ni dhahili Zitto amekuwa akijitahidi kusimamia maslahi ya akins Rostamali

Kaka kuwa mpinzani c kupnga kila kitu, ila naomba nijue mcmamo wa wabunge wa Chadema ksha tuendelee na mada
 
ni kweli Zitto Kabwe ni kijana machachari hapa Tanzania, lakini hii haina maana ya kwamba vijana wengine wa Kitanzania ni mazuzu. kwa kuwa wa TZ kwa ujumla wao wamekuwa makini na nchi tao ndio maan tunaona viongozi wa serikali wanavyohanyahanya na kujichanganya katika mbinu chafuchafu. sasa Zitto amelewa sifa na anataka kutufanya sisi vijana wengine ni mazuzu hapa amechemsha. mbinu yake ya kutumia gazzette la mwananchi inamtesa sasa. na kwa hili la TANESCO linamwondoa kwenye reli kabisa. CHADEMA sio dhaifu wala hawezi kuivuruga kirahisi kwa namna anazotumia! na kama anaona CHADEMA ni ya kikanda basi aondoke.... mimi ni mwenyeji wa MBEYA na sio mchagga lakini kwa sasa nina matumaini na CHADEMA na mbunge wangu SUGU, lakini wewe Zitto na mwenzio KAFULILA *mna penda kuonekana mna mawazo tofauti na misimamo ya vyama vyenu sasa *nio bora muondoke, kwanza mnatutota kwenye reli ya kujadili mambo mengine ya msingi yani sijui mnatumwa au vp, so disgusting.

Well said bro, Zito ni mnafk
 
Toa topic yako ya ukanda hapa mm nilijua tu ipo siku wachaga watamind wakihis wananyang'anywa chama kigoma juu.
 
Haa! na ww unautaka nn urais. ukanda ukabila udini unakitafuna chama wapen fursa wengine sio wachaga mwanzo mwisho aaah!
 
Bado tunamwamini zitto! Hizi ni propaganda za Wana CCM Waliopandikizwa kumuharibia.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huwa ninamdharau sana mtu anaezungumza udini na ukabila au ukanda.huwa namuona kama kichaa.
 
Zitto kijana hatari sn kwa cdm na taifa kwani ni mnafiki sn na huwa anawaona watz watu wa kukubali porojo zake
 
mfukuzen zitto kama chama hakijagawanyika vipandevipande mwambien slaa amfukuze aspate mpinzan 2015 ana wa2 wake zitto.
 
Hee! wamemshindwa shibuda watamuweza zitto mfukuzen muone kama hamtabaki 12 nyie na familia zenu tu! ukweli ndo huo.
 
Ni kweli kuwa zitto ni mbunge machachari ila anayoyafanya sasa yanatokana na kulewa sifa au kununuliwa na ccm huku akidhani kuwa kkila atakalo lifanya litakuwa ni sahihi.
 
Baada ya bodi ya Tanesco kumsimamisha mkugenzi wa shirika hilo la umma kwa tuhuma za ufizadi Zitto Kabwa alijitokeza hadharani kupinga hatua hiyo, na tangu wakati huo vyombo vingi vya habari vimekua vina,taja kuwa miongoni mwa wabunge waliopewa hongo na hao watendaji waandamizi wa Tanesco waliosimamishwa ili kuwatetea. Kwakua Zitto mwenyewe hajazikana habari hizo, nachukulia ni za kweli. Leo hii kambi ya upinzani, ambayo Zitto ni maibu kiongozi wake, imetoa msimamo wake kuhusiana na sakata hilo la Tanesco,; msimamo huo wa kambi la upinzani unakinzama kabisa na msimamo alionao Zitto juu ya suala hilo. Ni jambo la kawaida kwa watu waliyo kwenye kambi moja kuhitirafiana kimawazo; hata hivyo panapojitokeza hali hiyo, haina budi wahusika wote wajadiliane ili upatikane muafaka, baada ya hapo kila mtu ndani ya kambi hiyo anatakiwa kutoonyesha upinzani wowote juu ya muafaka huo hadharani. Kwa mtu yeyote ambaye amekuwa akifuatilia mwenedo wa Zitto atakubaliana na mimi kwamba mara nyingi Zitto upendelea kujitokeza hadharani na msimamo unaokinzama na wawenzake, Kisaikolojia janbo hilo siyo la ajabu , kwani inaeleweka kwamba miongoni mwa watu **** wale wanaoitwa "achievers", hao kwa kawaida siyo "team player" kwani kila nara wao wanachokipa umuimu siyo mafanikio ya timu yote bali mafanikio ya wao wenyewe binafsi. Hata hivyo katika suala hili la Zitto tatizo siyo tu la kuwa "achiever", inaonekana tatizo ni kubwa zaidi ya hapo; yeye anaonekana misimamo yake mingi inachukuliwa kwa lengo la kukidhi maslahi ya baadha ya makundi kwenye chama tawala, hata kwenye ili sakata la Tanesco ni dhahili Zitto amekuwa akijitahidi kusimamia maslahi ya akins Rostamali

Mhhn Majungu si mtaji!!!! Mwacheni kijana wetu tunamkubali.... Kwani chadema ni mali ya Slaa au mbowe !!? aah mnanikera!
 
Mimi naungana na wote wanaosema CDM wamtoe Zitto Kab we yaani katika viojana wa CDM ambao nimekuwa simpendi ni ZITTO yaani ni mnafiki na mshindani siku zote amekuwa hana heshima na viongozi wake hasa Dr. Slaa
Wewe utatangazaje kugombea URAISI na Bos wako anajulikana alileta challenge kubwa kiasi hicho kwenye uchaguzui uliopita?
Hana HESHIMA NA ADABU
SASA UNAONA YANAYOMTOKEA SASA NI LAANA ZA UGOMVI WA CHINI CHINI KATI YAKE NA BOSS WAKE DR. SLAA
Mtoeni huyu kwenye chama
 
Back
Top Bottom