Nawasihi ndugu zangu hawa waache fujo.
Sasa nani katishiwa maisha..BASHA au KINGWANGWALA...Maana naona kila mmoja anasema yeye ndo katishiwa...kwahiyo ilikuweka wazi lazima muhimili wa serekali utumike na sio jopo la wauza maneno wa sisim...kukaa na kupindisha sheria...
Kutishiwa maisha na kutisha maisha ni kosa la kisheria sio kichama...ndo mnaanza hivi hivi kidogo kidogo matokeo yake hata kesi kubwa mnaweza kusema mtazitatua kichama..Acheni mambo yasio leta tija nchini...WAPELEKWE MAHAKAMANI
Hata rage ........timamu haya bwana
this is a shame, chama kinafanya jitihada kuvunja sheriaMustapha Kapalata, Nzega na Frederick Katulanda, Mwanza | Mwananchi - Sept 01, 2012
SAKATA la makada wa CCM, Hussein Bashe na Dk Hamis Kigwangalla kutoleana bastola, limechukua sura mpya baada ya uongozi wa chama hicho Wilaya ya Nzega, kutaka suala hilo liondolewe polisi ili walishughulikie kimyakimya ndani ya chama kwa madai kuwa linakifedhehesha chama.
.
Du ugomvi wa kitoto Bwana kila mtu anataka aonekane kidume, mara Ww sio chaguo la wanaNzega na huyu mara ww sio Raia wa Tanzania
nimeipenda hii,,,,,,,,unamaanisha ninibado sana.2014 mtanikumbuka.ccm watatekana nyara wenyewe kwa wenyewe.babeli inaporomoka hawana Lugha moja tena-Narudia lazima risasi zitatoka tu.Nyumba imejaa kambare