Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Shubiri ya kukwepa midahalo kwenye chaguzi za ubunge zimeishtua CCM - Chama Cha Mafisadi - baada ya kuona TBC1 imewajenga mno wagombea mbalimbali wa upinzani hususani Chadema..............
Wasiwasi umetanda ndani ya ngome ya mafisadi kuwa endapo TBC1 au NGO yo yote ile ikaitisha mdahalo wa wagombea Uraisi bila ya JK kushiriki huo utakuwa ni msumari mwingine kwenye jeneza la CCM ambalo kaburi lake tayari limechimbwa.
Ngazi za juu ndani ya serikali na CCM wapo kwenye mkakati mzito wa kuzuia mdahalo huo usifanyike ili kuokoa jahazi la CCM na hususani la JK ambalo tayari limekwisha kuzama na hakuna utetezi hapo.
Wanachohofia mafisadi hawa ni mdahalo huo kuibua kashfa za ufisadi zile nzito kama ya Richmond, Dowans, radar, Meremeta, Kigoda, Majengo mapacha ya BOT, Epa n.k ambayo JK bila ya shaka yoyote ile atapata wakati mgumu kutetea hatua ambazo serikali yake imechukua kuokoa mali ya umma na kuwaadhibu vibosile wa CCM ndani ya serikali ambao ndiyo chimbuko la wizi na ubadhirifu unaoendelea serikalini.
Wasiwasi umetanda ndani ya ngome ya mafisadi kuwa endapo TBC1 au NGO yo yote ile ikaitisha mdahalo wa wagombea Uraisi bila ya JK kushiriki huo utakuwa ni msumari mwingine kwenye jeneza la CCM ambalo kaburi lake tayari limechimbwa.
Ngazi za juu ndani ya serikali na CCM wapo kwenye mkakati mzito wa kuzuia mdahalo huo usifanyike ili kuokoa jahazi la CCM na hususani la JK ambalo tayari limekwisha kuzama na hakuna utetezi hapo.
Wanachohofia mafisadi hawa ni mdahalo huo kuibua kashfa za ufisadi zile nzito kama ya Richmond, Dowans, radar, Meremeta, Kigoda, Majengo mapacha ya BOT, Epa n.k ambayo JK bila ya shaka yoyote ile atapata wakati mgumu kutetea hatua ambazo serikali yake imechukua kuokoa mali ya umma na kuwaadhibu vibosile wa CCM ndani ya serikali ambao ndiyo chimbuko la wizi na ubadhirifu unaoendelea serikalini.