msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
CCM wanajipanga kuwanasa vijana na kuwarudishia iman iliyopotea. Wanajisafisha na kuendelea kujipanga. SWALI, "VIJANA GANI WANAKAMATWA"? Ambao wana haja ya kuendelea kufanywa watoto?. Days are numbered, hata wafanye nini, hakuna imani tena. Ukifa umekufa, huwezi kufa mara mbili. RIP CCM.