Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Kikao cha madiwani wa ccm kilichokaa jana kimempitisha Mh lota laizer Diwani wa Kata ya Baraa kuwa mgombea wa kiti cha naibu meya,awali walikuwa madiwani wa Moshono mh Paul matsen na mh Ole sekeyani wa Terat waliojaza fomu za kugombea nafasi hiyo,chama Ngazi ya Wilaya kikarudisha majina yote matatu ndipo jina la Lota likapita kwa kupata kura Mh Lota Laizer kura 5,Mh Ole sekeyani 3,na Mh Paul 2.
Mh Lota Laizer aliwahi kuwa Meya wa Arusha kabla ya kulazimishwa kujiuzulu na chama chake kwa kashfa ya kuuza maeneo ya wazi hasa kiwanja kilichoko oposite na Soko la Kilombero.Diwani huyu wa bara ambaye ni fisadi ndio leo anachaguliwa kuwa naibu meya,huyu Mh Lota laizer ameuza viwanja vingi vya wazi Arusha,eneo la Ngiwaranecha,shule ya sekondari Baraa na mengine mengi.
Mh Lota Laizer aliwahi kuwa Meya wa Arusha kabla ya kulazimishwa kujiuzulu na chama chake kwa kashfa ya kuuza maeneo ya wazi hasa kiwanja kilichoko oposite na Soko la Kilombero.Diwani huyu wa bara ambaye ni fisadi ndio leo anachaguliwa kuwa naibu meya,huyu Mh Lota laizer ameuza viwanja vingi vya wazi Arusha,eneo la Ngiwaranecha,shule ya sekondari Baraa na mengine mengi.