The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Chakubanga chakubanga. Mungu anakuona. Dhulma zenu zitafikia tamati.
Chakubanga chakubanga. Mungu anakuona. Dhulma zenu zitafikia tamati.
kupata vichekesho vingne kama hiv BONYEZA NYOTA
hatari sanaDuuu kweli naomba Mungu anipe maisha marefu nione burudani hapa duniani. Hapa walichofanya ccm ni kama mtoto wa mama anapotoa malalamiko kwa mama yake dhidi ya nduguye ambaye ni mtoto wa kambo. Misuli nashuru kwamba uko hapa jukwaani. Yale yale niliyokuambia ni ngumu sana mwanamke mzee (ccm) kukubali hata akijipaka wanja na kuvaa sketi fupi. Ile propaganda mliyokuwa mnajilisha wanaccm kwamba mnakubalika na rais wengu nadhani matokeo mmeyaona. Huu ukatili unaotumika na kukiuka sheria toka kwenye vyombo vya mamlaka ili ccm ishinde uko wazi kabisa. Kibaya zaidi mnapa shida toka kwenye chama kisicho hata na ofisi ya kueleweka, huku ccm ikiwa na maofisi nchi nzima, inajinasibu na miradi kibao ya maendeleo, lakini inabidi kufanya hila za wazi ili iweze kushinda. Kama wewe ni mwanaccm inabidi usome upepo na kujua kwamba kwa sasa ccm iko kwenye siku zake za mwisho kabisa na cdm ndio itakayopelekea kifo chake.
Alshabaab wanaua kwa kumhusisha Mungu Boko haramu nao walikuwa wanamtaja Mungu huyo huyo na wenzao walikuwa wanachinja watu na kuwarekodi kwenye video wakimtaja Mungu huyohuyo na wengine hapa mnasababisha vifo vya watu wasio na hatia kwa tamaa zenu.Bwana polepole kesha sahau alikotoka
Keshamsahau Mungu
Keshasahau ahadi na kauli zake akiwa mjumbe wa katiba ya warioba
Sasa polepole kaota mapembe
Polepole amegeuga nakuwa si yule wa haki na utawala wa sheria
Hakika Mungu atamfunga jiwe shingoni polepole kwa maana yoyote ile ....Mungu hadhihakiwi
Kumbukumbu....
1. John komba.......lowasa atakufa, kafa komba
2. Samuel Sita... Lowasa atakufa, kafa Sita
3. Ramadhan ditopile ukiwaona mzuzuri....alimuwa deleva wa daladala mchana kweupe kwa bastola...ccm wakapindisha haki akaachiwa huru....Dito yupo wapi? Kafa
God will do needful to polepole very soon as God listens to innocence blood shade and deliver revenge timely .
hatari sana