yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
chama kimeshaoza hiki, kwishne kabisa saizi tunataka mabadiliko bwana hata mfanye nini hamsafishiki tena mmekuwa kama bati lililopata kutu.
Huyu mama aliyebeba bango la Ufisadi, Hakya Mungu anaitukana CCM kwa staili ya rejareja
CCM kazi mnayo