Mkuu unaweza fafanua japo kwa mfano 1 tu ni chama kipi kilinua kura, na vipi?Dr. Dalali Peter Kafumu ni mtu makini na wanaomfahamu watathibitisha hili. Sina shaka na utendaji kazi wake. Na kwa wasifu huo ndiyo maana watu wa Igunga walimchagua kwenye uchaguzi ule mdogo mbali na jitihada za baadhi ya vyama kutumia pesa nyingi sana kununua kura. Unaposema watu walikuwa katika proportions ulizozisema hivi unakuwa umepimaje?
Je kama wana Igunga walimchagua Dr. Kafumu inakuwaje leo wanamsusia!?
Ni kwa vigezo vp wewe unavitumia kutambua kuwa Dr. Kafumu ni mtendaji mzuri na makini?
Nilivosikia unapiga kelele kule Nzega kuhusu madini nilijua mzalendo kumbe walewale!! Vp mkuu mbona kimya au Mgodi ulishaufunga!!?