Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Wanajamvi,
Ni wazi kabisa wenzetu wa Lumumba sasa wanaumbuka kwani walichokikataa kwenye rasimu ya Warioba bado kinawasumbua kwenye muundo wa bunge,wengine wakisema pawepo na mabunge matatu la Zanzibar,la Tanganyika,na Bunge la seneti litakalo shughulika na masuala ya muungano na wengine wakitaka iwe kama ilivyo sasa.
Sasa nauliza je huwo si muundo wa serikali tatu?
Nawasilisha.
Ni wazi kabisa wenzetu wa Lumumba sasa wanaumbuka kwani walichokikataa kwenye rasimu ya Warioba bado kinawasumbua kwenye muundo wa bunge,wengine wakisema pawepo na mabunge matatu la Zanzibar,la Tanganyika,na Bunge la seneti litakalo shughulika na masuala ya muungano na wengine wakitaka iwe kama ilivyo sasa.
Sasa nauliza je huwo si muundo wa serikali tatu?
Nawasilisha.