Leo kwenye uwanja wa taifa katika mechi ya Stars na Nigeria bwana Januari Makamba akajitia pedezjee kulipia watu wote walokuwa nje waingie ndani bure, ilipofika half time mtangazaji wa PA ya uwanja akaanza kumnadi Januari kwa mbwembwe zote, cha ajabu uwanja mzima ulilipuka na kuanza kuzungusha mikono kuashiria mabadiliko bendera na picha za Lowassa hata sijui ziliibukia wapi ilikuwa patashika. Kweli Lowassa kiboko yenu.
VIDEO
hivi hizo hela Makamba alizotumia kuwalipia watu kutizama mpira si angejitolea kununua madawati ya watoto wa shule? kiongozi kutoa hela kwa dizaini hiyo kipindi cha uchaguzi ni sawa na kuhonga wapiga kura.
Hila na fitina hazita wasaidia
Kwanini leo ndio waingie bure?na siku zote watu wanalipa mpaka matamasha ya dini!!!!
Uwanja wa Taifa una uwezo wa kubeba watu 60000 Dar ina watu wangapi?
Waliofanya hivyo ni wangapi?Ambao hawakufanya hivyo ni wangapi?
Ukiitwa lofa utachukia?
Uwanja wa Taifa una uwezo wa kubeba watu 60000 Dar ina watu wangapi?
Waliofanya hivyo ni wangapi?Ambao hawakufanya hivyo ni wangapi?
Ukiitwa lofa utachukia?
Matomaso bado hawataamini kuwa CCM imechokwa na bado...
CC: Lizaboni, Ritz, FaizaFoxy, Mr Chin, MwanaDiwani, Mugisher, ralph, masopakyindi, Susuviri ...
Kesho nasikia kiboko ya mafisadi Dr Slaa atakuwa Azam tv
Haka kajamaa January Makamba kanapenda cheap popularity sana. Kahovyo kabisa. Siku zote ni kavivu na kazi yake ni ufisadi na kutimia fedha ili aonekane anapendwa.
#HapaKaziTu.
Nyinyi pigeni porojo, bado mna miaka mingi sana ya kuiota ikulu.
Hatuwezi wapa ikulu Ku Klux Klan Tanzania - kumbuka hilo.
#HapaKaziTu.
Nyinyi pigeni porojo, bado mna miaka mingi sana ya kuiota ikulu.
Hatuwezi wapa ikulu Ku Klux Klan Tanzania - kumbuka hilo.
#HapaKaziTu.
Nyinyi pigeni porojo, bado mna miaka mingi sana ya kuiota ikulu.
Hatuwezi wapa ikulu Ku Klux Klan Tanzania - kumbuka hilo.
Uwanja wa Taifa una uwezo wa kubeba watu 60000 Dar ina watu wangapi?
Waliofanya hivyo ni wangapi?Ambao hawakufanya hivyo ni wangapi?
Ukiitwa lofa utachukia?
Kama Tanzania ni yako na familia yako tutafanya ivyo. Unaisemea nchi hii kama Mali yako... Timamu kweli wewe!!!!????
#HapaKaziTu.
Nyinyi pigeni porojo, bado mna miaka mingi sana ya kuiota ikulu.
Hatuwezi wapa ikulu Ku Klux Klan Tanzania - kumbuka hilo.