Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Kiherehere chao kimewaponza.walikuwa wameweka bango kubwa kikwete akiwa na maaskofu wa kkkt,ALEX MALASUSA, na ELISA BUBERWA, wakaandika eti tunaheshimu uhuru wa kuabudu. Mnamuona kikwete? Maaskofu wasipokuwa makini,atawaingiza mkenge.nawapöngeza wale wa mbeya kugundua janja yake ya nyani.hilo bango baada ya karipio la Ndg Lwakatare,leo limeondolewa.CCM aibu kwenu bkb.