William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Haya mambo ya ajabu sana, hivi huko kwenye ubunge kuna nini hasa mpaka watu wanataka kuuaana?
- Mshahara mbona ni mdogo kuliko hela na ngumi wanazozitumia kuupata, kuna nini hasa huko bungeni?
FMES!
- Mshahara mbona ni mdogo kuliko hela na ngumi wanazozitumia kuupata, kuna nini hasa huko bungeni?
FMES!