Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Hali inayoendelea hivi sasa katika nchi hii siyo ya kawaida. Mwenye akili tu ndiye anaweza kuona mbali lakini sio sisi ccm tunaojitahidi tu kulinda maslahi yetu bila kuwajali wananchi.
Pamoja na mambo mengi ambayo wakati wowote yataamsha hasira za wananchi-hali ngumu ya maisha, kusua sua kwa mchakato wa katiba mpya-hamna jinsi kukwepa kwamba jeshi la polisi tulionao ambao pia wanalia hali ngumu ya maisha hawawezi kudhibiti hasira za wananchi. Ushahidi upo kwamba maandamano yanapokuwa Arusha polisi huletwa toka maeneo ya jirani: Manyara, Kilimanjaro n.k
Sasa iwapo Manyara, Kilimanjaro na kwengineko utawaka moto, wapi watatoka polisi wa kuongeza nguvu? Kuwafunza wengine zaidi, bajeti ya mishahara mipya kwao hamna. Nchi inafilisika na watoa misaada Europe wameshachoka tayari.
CCM tutashindwa kupeleka vibakuli. CCM tufanyeje ili kukwepa hili tishio, ushoga tumeukataa hatuwezi kuhongwa na vitambi vyetu na vyeti feki tulivonavyo vinategemea siasa tu na hatuwezi kuomba kazi za kitaaluma.
Pamoja na mambo mengi ambayo wakati wowote yataamsha hasira za wananchi-hali ngumu ya maisha, kusua sua kwa mchakato wa katiba mpya-hamna jinsi kukwepa kwamba jeshi la polisi tulionao ambao pia wanalia hali ngumu ya maisha hawawezi kudhibiti hasira za wananchi. Ushahidi upo kwamba maandamano yanapokuwa Arusha polisi huletwa toka maeneo ya jirani: Manyara, Kilimanjaro n.k
Sasa iwapo Manyara, Kilimanjaro na kwengineko utawaka moto, wapi watatoka polisi wa kuongeza nguvu? Kuwafunza wengine zaidi, bajeti ya mishahara mipya kwao hamna. Nchi inafilisika na watoa misaada Europe wameshachoka tayari.
CCM tutashindwa kupeleka vibakuli. CCM tufanyeje ili kukwepa hili tishio, ushoga tumeukataa hatuwezi kuhongwa na vitambi vyetu na vyeti feki tulivonavyo vinategemea siasa tu na hatuwezi kuomba kazi za kitaaluma.