tanzania daima si gazeti la mbowe wa mwenye hisa kubwa ndani ya chadema
Tanzania Daima si gazeti la MBOWE wa Mwenye hisa kubwa ndani ya chadema
[B] [/B]
Kuna tetesi kuwa kuna watu wanaodahaniwa ni CCM hununua nakala nyingi za Tanzania Daima kwa wasambasaji, ile gazeti hilo lisifike kwa wachuuzi wa reja reja, hence lisifike kwa wananchi.
Nimekosa nakala yangu leo, ndio muuza magazeti akaniambia hivyo je kuna ukweli wowote?