CCM Walilipa Bei Gani Kupata Paragraph Kwenye Hotuba Ya OBAMA?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)

Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.

Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?

(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?

Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.

Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Hapana.

 
Kwani hotuba ya Rais wa Marekani UNO inaandaliwaje? Nadhani Obama naye ana matatizo. Africa nzima governance imeimarika kwa 2% kutoka mwaka 2005 mpaka 2009 (Economic Commission for Africa). Tanzania kwa corruption ilikuwa ya 88 mwaka 2005 na mwaka 2009 ni ya 102 (Transparency International). Hivi Obama aliyapitia haya?

Hii ni namna ya kumpumbaza mtu ili upate unachokitaka! Bush alimwambia Kikwete hawatoi hela ili ziibiwe, yeye akamwakikishia kuwa za wafadhili haziibiwi. Maanake wanaiba za kodi, sasa huu tu utawala bora? Kwanza Obama alikiri mwenyewe kuwa aliwahi kuvuta/ kula madawa ya kulevya, yawezekana adhari zake bado anazo mpaka leo, pili je, kweli aliacha?
 
bangi si wajua yakaaa 7 years,wamarekani wanatetea maslahi ya nchi yaooooo, wano wana ...NATIONAL INTERST ambayo iko wazi kwa wamarekani wote iwe ni Republican au Democreatic, sisi hapa hatuna, National interest wanaijua UWT tu ambao mimi nawaona kama wana fanya kazi za usalama wa CCM kushinda na iendelee kutawala for life, Economic au Diplomatic interigency ndio yenye tija kwa nchi zote duniani si kungangania madarakaniiii
 
Ukiona Marekani anakusifia ujue amekutongoza na ukakubali au anataka kukutongoza but nadhani kwa haya ya Kigamboni tumekubali!
 
Fungua macho.... ni URANIUM mkuu. Everything is set at Mbeya and songea. US ni zaidi uijuavyo.
Wako kibiashara zaidi....ala.
 
US hawasifii kitu bure...
Washajua viongozi wa Africa wakisifiwa na "mabwana wakubwa' wamemaliza..
Sio bure kuna kitu wametega hapa TZ..!
 
Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Nimeipenda hii. lakini ni lazima mwelewe kuwa dhahabu yetu yote inaishia marekani na canada. Inawezekana hata Obama ameahidiwa mgodi au alilazimishwa na CIA & pentagon -ili wauziwe kigamboni kiulaini, wachimba dhahabu zetu e.t.c.
 
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)

Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.

Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?

(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?

Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.

Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Hapana.

Kamuulize Mbowe alitoa kiasi gani kupewa mualiko wa kuhudhuria mkutano wa Republicans Marekani. Ukishajua kiasi alichotoa Mbowe basi bei itakuwa hiyo hiyo kwani hawa Wamarekani wana policy ya FIXED PRICE. :tonguez:
 
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)

Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.

Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?

(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?

Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.

Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Hapana.

as usual Museveni alishawahi pata kashfa ya kuhonga political strategists/lobbist for good coverage! Naona Tanzania nao wanafanya huu upuuzi
 
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)

Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.

Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?

(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?

Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.

Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Hapana.


Punguza ghadhab, pata burdani kidogo:

[video=youtube_share;b42zyaiRspw]http://youtu.be/b42zyaiRspw[/video]

 
Ni srea inayoeleweka kabisa kuwa Marekani haina adui wala rafiki wa kudumu ila ina maslahi ya kudumu, inasifia kwa vile ina maslahi ya kudumu Tanzania
 
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)

Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.

Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?

(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?

Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.

Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.

Hapana.


There is a danger of taking diplomatic niceties too far.

Umeenda kwa jirani, umekaribishwa vitumbua, unauliza nichukue vingapi, wastaarabu wanakwambia "chukua vyovyote vile unavyotaka" unachukua sahani zima.

Things and speeches must be taken in context.

Obama anatetea interests za US, wamarekani waweze kufanya biashara (na kutunyonya vizuri) lazima atapalilia uhusiano mzuri na Kikwete. Hapo anatoa maneno ya mtongozaji tu, na kama kawaida, maneno ya mtongozaji hayakosi chumvi.

Kuna ma trade issues, ma geopolitics, security issues, kuns ma rare earth minerals uranium scramble na Wachina/ terror networks. Kuna regional influence peddling. Kuna relative truth ambayo itamfanya Kikwete aonekane anafuata rule of law ukimlinganisha na Idi Amin au Mobutu. Obama anaweza kusema ukimlinganisha na Reagan aliyekuwa rafiki wa Mobutu yeye Obama anafanya much better in a progressing, if gradual, convergence towards complete rule of law, ambayo hata Marekani kwenyewe haipo by the way.

Sasa wengine watataka maneno haya ya mtongozaji yachukuliwe seriously.
 
Back
Top Bottom