Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
"The United States will focus our development efforts on countries like Tanzania that promote good governance and democracy; the rule of law and equal administration of justice; transparent institutions with strong civil societies; and respect for human rights." (blah - blah - blah.......)
Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.
Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?
(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?
Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.
Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.
Hapana.
Jamani mimi nina mashaka na hii paragraph kwenye hotuba ya huyu Bwana Mkubwa (Obama). Hakuna kitu kinachoitwa Rule of Law katika serikali ya Kikwete.
Nchi hii kuna utawala wa sheria? Upi? Kuna mifano?
(Sina ushahidi). Mimi nina amini CCM walishinda zabuni ya kuingiza paragraph kwenye hotuba ya Obama. Watuambie tu walilipa bei gani?
Aliyoyasema Obama bora angeyasema juu ya Ghana, Namibia, Botswana au nchi nyingine yoyote, lakini siyo Tanzania ya Kikwete.
Mafisadi wapo mitaani na rais anathubutu hata kuwasifia na uso wa mpauko bila haya.
Hapana.