Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Nashindwa kuelewa hapa Watanzania, wenzetu CCM wanakata mikutano ya hadhara bila shida kabisa, CDM wakifanya tu wanakamatwa! kulikoni? Inabidi na Na Nnauye wamkamate, wakishindwa tunaweza kumkamata sisi!:majani7::shut-mouth: