PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Ndugu zangu wana chadema kuna baadhi ya mambo inabidi tuyaseme hatakama yana uma hii ni kwa kukisaidia chama. Tusipokuwa makini tutalipoteza hili jimbo la Moshi mjini.
Kwa taarifa nilizozipata toka kwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm ni kuwa chama hicho kimeelekeza nguvu nyingi mkoani huko haswa baada ya kugundua kuna uzaifu katika nguzo kuu za chadema jimboni hapo. Wengi wanajua kuwa huu ni mhula wa mwisho wa mzee wetu Ndesamburo na sasa anaandaliwa meya wa mji Mh. Jafari ili kupokea kijiti hicho, kwa wale ambao wanamfahamu huyu bwana au kumfatilia watakubaliana nami kuwa ameshaonyesha mapungufu kadhaa katika uongozi wake wa manispaa ya Moshi mjini ila tushukuru sana madiwani wenzake ni wavumilivu sana na wamemstahi vya kutosha la sivyo wangesha mng'oa.
Kwanza ni mbishi, jeuri, mbabe na kwasababu ameshajihisi kuwa ni mrisi wa jimbo Jafari amebadilika sana naweza kusema haambiliki anamaamzi ya kibabe na akiamuwa hashauriki, baada ya Ndesamburo kumwachia shughuli za jimbo kuzisimamia kama msaidizi Chadema Moshi mjini imeharibika taswira na kuonyesha mapengo mengi ambayo ccm wanayatumia ipasavyo kujiimarisha kwa siri kubwa na kwa kasi, katika historia ya chadema hapa Moshi mjini haijawahi tokea kukawa na mgogoro kati ya manispaa na wananchi pindi Manispaa ilikiwa chini ya chadema, ni wakati huu wa Mh.jafari naomba chama kimwangalie kwa ukaribu sana.
Nawaomba viongozi wa Chadema Taifa mliangalie hili kwa umakini mkubwa, ccm wamejipanga kikamilifu haswa baada ya kugunduwa hawawezi kilirudisha jimbo la Arusha mjini na Mtoa taarifa huyo amesema hawawezi kuyaachia majimbo yote makubwa ya kaskazini yaende upinzani sisi kama wanachama na wapemzi hatuko tayari kulipoteza jimbo hili mama lililokilea chama mpaka hapa kilipo sasa Mh. Jafari ameshindwa hata kuendesha mikutano ya kukiamsha chama?
Hi ni aibu chama kiko kama hakiko viongozi mkoa wako singizini wakati wenzao hawalali kikiimarisha chama kwa vikao na wazee wa mkoa na sasa upepo unaanza kubadilika taratibu.
Ukitaka kuyaamini haya ninayo yasema hapa fuatilieni chaguzi mbalimbali za CCM mkoa wa Kilimanjaro haswa jimbo la Moshi Mjini mtajua ni nini kinaendelea.
Kwa taarifa nilizozipata toka kwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm ni kuwa chama hicho kimeelekeza nguvu nyingi mkoani huko haswa baada ya kugundua kuna uzaifu katika nguzo kuu za chadema jimboni hapo. Wengi wanajua kuwa huu ni mhula wa mwisho wa mzee wetu Ndesamburo na sasa anaandaliwa meya wa mji Mh. Jafari ili kupokea kijiti hicho, kwa wale ambao wanamfahamu huyu bwana au kumfatilia watakubaliana nami kuwa ameshaonyesha mapungufu kadhaa katika uongozi wake wa manispaa ya Moshi mjini ila tushukuru sana madiwani wenzake ni wavumilivu sana na wamemstahi vya kutosha la sivyo wangesha mng'oa.
Kwanza ni mbishi, jeuri, mbabe na kwasababu ameshajihisi kuwa ni mrisi wa jimbo Jafari amebadilika sana naweza kusema haambiliki anamaamzi ya kibabe na akiamuwa hashauriki, baada ya Ndesamburo kumwachia shughuli za jimbo kuzisimamia kama msaidizi Chadema Moshi mjini imeharibika taswira na kuonyesha mapengo mengi ambayo ccm wanayatumia ipasavyo kujiimarisha kwa siri kubwa na kwa kasi, katika historia ya chadema hapa Moshi mjini haijawahi tokea kukawa na mgogoro kati ya manispaa na wananchi pindi Manispaa ilikiwa chini ya chadema, ni wakati huu wa Mh.jafari naomba chama kimwangalie kwa ukaribu sana.
Nawaomba viongozi wa Chadema Taifa mliangalie hili kwa umakini mkubwa, ccm wamejipanga kikamilifu haswa baada ya kugunduwa hawawezi kilirudisha jimbo la Arusha mjini na Mtoa taarifa huyo amesema hawawezi kuyaachia majimbo yote makubwa ya kaskazini yaende upinzani sisi kama wanachama na wapemzi hatuko tayari kulipoteza jimbo hili mama lililokilea chama mpaka hapa kilipo sasa Mh. Jafari ameshindwa hata kuendesha mikutano ya kukiamsha chama?
Hi ni aibu chama kiko kama hakiko viongozi mkoa wako singizini wakati wenzao hawalali kikiimarisha chama kwa vikao na wazee wa mkoa na sasa upepo unaanza kubadilika taratibu.
Ukitaka kuyaamini haya ninayo yasema hapa fuatilieni chaguzi mbalimbali za CCM mkoa wa Kilimanjaro haswa jimbo la Moshi Mjini mtajua ni nini kinaendelea.