kati ya wapumbavu humu jf wewe nambari wani......
Bora uniite mbumbavu kuliko kuitwa mzinzi.Hata mtume paulo aliwahi kujiita mpumbavu.
kati ya wapumbavu humu jf wewe nambari wani......
Mkuu MM umenena ila naamini lile tamko limeandaliwa na kikundi fulani ndani ya UVCCM kwa faida yao binafsi na kuwa DOWANS imetumiwa kama njia ya kupitishia matusi waliyokusudia kwa hao waliotukanwa.
Please don't insult your dignity like that again. Thax
Whom dou you mean is insulting his dignity,me or Slaa? He once caught in a guest house during Bunge session in Dodoma by his old wife who also was not his lega wife.Then now he is enjoying openly with someones wife.He has really insulted his dignity
Bora uniite mbumbavu kuliko kuitwa mzinzi.Hata mtume paulo aliwahi kujiita mpumbavu.
Ngoja nikuite, MPUMBAVU.
Ni kweli,ndio maana hajakanushaKuna ile picha ya Zeutamu, yule kijana wa Lusinde inabidi kwenda kumuona atowe kopy.
Watu wanachemka, kuna tofauti ya matusi wakati wa kampeni na baada.
Watu wanachemka, kuna tofauti watu kutoa matusi kwenye mtandao (hawajulikani/watu wa kawaida) na watu wanaojulikana kuwakilisha Chama kikubwa nchini wanapotowa matusi. Ni vitu viwili tofauto kabisa.
Leo Umoja wa vijana Chadema wakitoka na ile picha ya Zeutamu, itabidi na wao TUWALAANI.
Ila kama mchezo ni huu, basi itabidi "mwaga mboga, na mie namwaga ugali." Shigongo atatajirika sana.
Hivi ni kweli Makamba ALIBAKA huko Kigoma (just asking.)
kama mtu siyo mkeo atakukamata vipi ugoni?
Na kibaya zaidi, janaume zima linakuja kuandika hapa.
Kuanza kushabikia umbeya na mwisho kuandika maneno yanayokinzana, huoni unaingilia kazi za watu?
Wee mtu mzima /ukitaka jiite wa makamo (kama ulienda jandoni) unakuja kuandika upupu na kuushangilia?
You can do better than this umbeya. Unakaa sana na akina mama, wee mtu weee!!!!
Mwisho utaaanza tabia za kulegeza sauti na mikono. Be a men.
emen
emen
Ni kweli,ndio maana hajakanusha
Usitutoe kwenye mada hapa hatumjadili Mkamba.Hata hivyo Makmaba hajatangaza kugombea Urais.Lakini mtu akigombea kwenda Ikulu anatakiwa asiwe na kashfa kama hizo.Hata maaskofu kwenye ilani yao walisema achaguliwe mcha Mungu japokuwa baadae walionekana kugeuza na kutaka achaguliwe Slaa eti tusiangalie mtu binafsi tuangalie sera.Tuliwashtukia. Heko Vijana sijui mlichelewa wapi.
Usitutoe kwenye mada hapa hatumjadili Mkamba.Hata hivyo Makmaba hajatangaza kugombea Urais.Lakini mtu akigombea kwenda Ikulu anatakiwa asiwe na kashfa kama hizo.Hata maaskofu kwenye ilani yao walisema achaguliwe mcha Mungu japokuwa baadae walionekana kugeuza na kutaka achaguliwe Slaa eti tusiangalie mtu binafsi tuangalie sera.Tuliwashtukia. Heko Vijana sijui mlichelewa wapi.
Eti CCM inaweza ikafanya nini? Wana-ubavu. Makamba pekee amewashinda itakuwa RA na EL.
wait a minute,Whom dou you mean is insulting his dignity,me or Slaa? He once caught in a guest house during Bunge session in Dodoma by his old wife who also was not his lega wife.Then now he is enjoying openly with someones wife.He has really insulted his dignity
wait a minute,
this is not english
sister why dont you go back to school instead of wasting your time and posting nonsense scum. just an advice
MM tulianzishe tu dawa ya moto ni moto si ndio wanavyotaka. Waache wataaibika mpaka washindwe kutembea barabarani. Wewe sema suuuuuuuuu waone kilichomtoa kanga manyoya alaa pu**^&^%%&%zaoHapana.. kama CCM Taifa hawatachukua hatua yoyote dhidi ya viongozi hawa wa vijana ambao naamini wamevunja maadili ya uongozi wa CCM (I know I know) na vile vile nadhani wamevunja miiko ya uongozi basi ni wazi kuwa tamko lao limepata baraka toka juu. Kama hili ni kweli basi siku zinazokuja zitakuwa ni za aibu sana kwa uongozi wa taifa letu.
Mimi nahisi kuna kigogo yuko nyuma yao anawatumia UVCCM kuwatukana Sitta na Mwakyembe, vijana wanaongea maneno bila adabu, eti WANAKITAKA chama cha mapinduzi kutoilipa dowans, wanakitaka chama cha mapinduzi kuipundua bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu......