Viongozi wa tawi la ccm sinza leo wamewasilisha barua za kujiuzulu mbele ya waandishi wa habari ITV
Sijagombea Sinza, huo ni uzushi, nitoke Kariakoo nikagombee Sinza? ntajuwaje kuongoza na kuwatatulia matatizo yao wananchi wa Sinza na siishi nao huko?
Wacha kuzuwa.
Sinza ni mkoa gani, jamani...
Mmh hujatukanaa!? basi umeanza kukomaa kisiasa! hongeraSijagombea Sinza, huo ni uzushi, nitoke Kariakoo nikagombee Sinza? ntajuwaje kuongoza na kuwatatulia matatizo yao wananchi wa Sinza na siishi nao huko? Wacha kuzuwa.
Sijagombea Sinza, huo ni uzushi, nitoke Kariakoo nikagombee Sinza? ntajuwaje kuongoza na kuwatatulia matatizo yao wananchi wa Sinza na siishi nao huko?
Wacha kuzuwa.
Mkuu,kwani hili jina upo ww tu?
Huku utata kibao kuna uchaguzi kila siku unapangwa kurudiwa ila vurugu zinatokea za uenyekiti sinza c (selungwi vs Zumba)
Sijagombea Sinza, huo ni uzushi, nitoke Kariakoo nikagombee Sinza? ntajuwaje kuongoza na kuwatatulia matatizo yao wananchi wa Sinza na siishi nao huko?
Wacha kuzuwa.
Hivi mention quarter nayo ni kariakoo?