figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Naomba kufahamishwa hiyo mnayosema sijui miaka 50 ya Tanzania ambayo hadi leo sijajua ni Tanzania ipi yenye miaka 50 mtafanyia wapi sherehe hizo?? sababu uwanja wa uhuru muliozoea kufanyia hujuma na kuhalalisha vitu halamu kama viongozi feki na maazimisho feki ya Muungano upo kwenye matengenezo.je safari hii pesa na kodi za walala hoi mtaenda kuzitumbulia wapi kabla ya tafrija ya Ikulu jioni ambayo naamin itaonyeshwa live na tbc ili kuwalingishia walio lala njaa? mia