CCM naomba munijibu kwa ufasaha...

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Naomba kufahamishwa hiyo mnayosema sijui miaka 50 ya Tanzania ambayo hadi leo sijajua ni Tanzania ipi yenye miaka 50 mtafanyia wapi sherehe hizo?? sababu uwanja wa uhuru muliozoea kufanyia hujuma na kuhalalisha vitu halamu kama viongozi feki na maazimisho feki ya Muungano upo kwenye matengenezo.je safari hii pesa na kodi za walala hoi mtaenda kuzitumbulia wapi kabla ya tafrija ya Ikulu jioni ambayo naamin itaonyeshwa live na tbc ili kuwalingishia walio lala njaa? mia
 
Naomba kufahamishwa hiyo mnayosema sijui miaka 50 ya Tanzania ambayo hadi leo sijajua ni Tanzania ipi yenye miaka 50 mtafanyia wapi sherehe hizo?? sababu uwanja wa uhuru muliozoea kufanyia hujuma na kuhalalisha vitu halamu kama viongozi feki na maazimisho feki ya Muungano upo kwenye matengenezo.je safari hii pesa na kodi za walala hoi mtaenda kuzitumbulia wapi kabla ya tafrija ya Ikulu jioni ambayo naamin itaonyeshwa live na tbc ili kuwalingishia walio lala njaa? mia

Main national Stadium
 
wewe una wivu!!acha sie tule keki ya taifa!,tafuta nafasi nawe ule sio kulalamika tu!NA MTAKE MSITAKE LOWAASA RAIS HATA KURA TUTAIBA!!!!!!NA CHADEMA MTAJUTA AMINI



Naomba kufahamishwa hiyo mnayosema sijui miaka 50 ya Tanzania ambayo hadi leo sijajua ni Tanzania ipi yenye miaka 50 mtafanyia wapi sherehe hizo?? sababu uwanja wa uhuru muliozoea kufanyia hujuma na kuhalalisha vitu halamu kama viongozi feki na maazimisho feki ya Muungano upo kwenye matengenezo.je safari hii pesa na kodi za walala hoi mtaenda kuzitumbulia wapi kabla ya tafrija ya Ikulu jioni ambayo naamin itaonyeshwa live na tbc ili kuwalingishia walio lala njaa? mia
 
Wewe hazikutoshi,unategemea wizi wa kura kuongoza watu.Utaongozaje sasa kama cyo kutu richmond na kutudoans. Tanzania tumechoka hatuhitaji sura hizo tena!
 
Back
Top Bottom