JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Masatu,Nyangumi,Mtupori,Marshall ES,
Hivi kwanini Malecela anakubali kuwa abused na kutumiwa na CCM kiasi hicho? Wakati wa kampeni wanampenda, lakini akijaribu kugombea Uongozi wanamtukana.
Kwanini hajitoi huku CCM? Anaogopa nini? Huyu Mzee CCM wanaweza hata kumtumbua jicho na yeye akaendelea kukaa humohumo.
Mwalimu kamtukana,Mkapa kamtukana, mwisho hata huyu bwana mdogo kwake Kikwete atakuja kumtukana. YOU WAIT!!
Hivi kwanini Malecela anakubali kuwa abused na kutumiwa na CCM kiasi hicho? Wakati wa kampeni wanampenda, lakini akijaribu kugombea Uongozi wanamtukana.
Kwanini hajitoi huku CCM? Anaogopa nini? Huyu Mzee CCM wanaweza hata kumtumbua jicho na yeye akaendelea kukaa humohumo.
Mwalimu kamtukana,Mkapa kamtukana, mwisho hata huyu bwana mdogo kwake Kikwete atakuja kumtukana. YOU WAIT!!