CCM na Urais 2015: Tujadili Aina Kuu za Wagombea

Mchambuzi, My speculation ni kwamba CCM will sneak out with a female candidate to get away from conflict and neutralise the enemity that is currently chewing the party. CDM is likely to get stack on that cause so far they dont have much of potential female on the list, this is so important to consider as an issue.

Na lile kundi la 5. ulilolitaja hapo juu la Wazee waliopita linaweza kutumika kuepuka uwezekano wa mapambano. Nimefuatilia uchambuzi wako kwa kweli ni mzuri sana. Kuna kitu kimoja, umegundua kuna kundi jipya linaloimarishwa sasa? Hili linamuunga Mkono raisi na hao watakaopendekezwa nae? Na kutokana na Rais JK kujifunza kutokana na makosa yaliyojitokeza na ugumu wa kukisimamia chama, nadhani ataungana na Wazee uliowataja kukiokoa chama. Hawa tayari wamepewa nafasi nyeti katika Wizara Nyeti kuhakikisha CCM ina weka ushahidi wa kimaendeleo. Hawwa wanaaminika hupenda kufanya kazi zao kwa matokeo na si watu waoga sana, lakini kundi hili ni la watu CCM na serikali inaamini wanaokubalika sana na watu (public, rejea mkutano wa Jangwani).

Kuna shida kubwa sana uchaguzi ujao, si ajabu Katiba inakimbizwa kwa kasi ya ajabu kuokoa matatizo mengi pamoja na uliyoyataja. Kubwa ni tatizo la Muungano. Maraisi wawili tayari wameongoza kwa mikupuo miwili kutoka Bara, hapa swala la Ukristo na Uislamu sio tatizo, tatizo ni la Ubara na U-visiwani ambalo tayari ni hoja kubwa sasa. Je Katiba itaridhia Mgombea Binafsi? Ili kuwapata watu kama Mh Augustine Ramadhani? Au srikali Tatu na kutoa madaraka zaidi kwa serikali ya Visiwani ili Raisi wa Muungano asiwe ishu kubwa?

Asante Mchambuzi kwa mjadala huu mzuri, hasa ukizingatia CCM ina na fasi kubwa bado ya kushinda, achilia mbali ushabiki wa kisiasa, kama hawataendelea na makosa yaliyowagharimu kwa kipindi hiki. Nashukuru hakunaga kura za Maoni au zipo ila viognozi wetu wasingezi-favour maana kwa kweli CCM ingekuwa chini sana kipindi kifupi kilichopita. Kwa sasa sio mbaya, kwa haraka haraka hasa jinsi serikali ilivyoshughulikia maswala nyetio ya kitaifa hivi karibuni, Imani imeongezeka bila shaka.
 
Mchambuzi naona hapa umelenga penyewe hasa. Sasa hivi CCM imesahau au inapretend kuwa imesahau yenyewe ni nani na kazi zake ni zipi, hilo unaweza kuona kutoka chama ngazi ya Taifa, hadi mwanachama mmoja mmoja. Ndio maana sasa hivi chama kinatumiwa kama njia ya kufikia malengo binafsi, hasa ya kiuchumi. Itakuwa ni vizuri tukijua kuwa baadhi ya wagombea watagombea kwa ajili ya immunity, au kujenga alliances kwa kuwaunga mkono watu fulani ili in return wapate immunity, lakini bado sioni kama kweli tutakuwa na wagombea ambao watakuwa na nia ya kweli ya kutekeleza ilani ya chama, wa kutekeleza sera na hata kuangalia itikadi ya chama, au kuifanya Tanzania ipige hatua.

Tunahitaji kufanya kazi kubwa ili kubadilisha hali hiyo, kama wapiga kura wakipata ufahamu wa kutosha wanaweza kuamua kuwachagua wale wenye nia ya kuwasaidia, na sio wale wanaowatumia wapiga kura na kuwawakilisha kama ulinzi wa madhambi yao. Naona kazi ipi kubwa sana...still sioni mwanga sana 2015, labda inaweza kuwa ovyo kuliko hata sasa.

Upo sahihi, tutarajie vurugu nyingi sana ndani ya CCM itakayotokana na kambi mbalimbali kupigana vikumbo na fitina huku kila kambi ikijiona ndio turufu inayohitajika. Lakini nadhani baada ya vituko vyote, ni kambi mbili tu ndizo zitabakia imara, kambi ya kwanza ni ile inayotafuta immunity as you righltly put it na kambi ya pili ni ile namba saba - ambayo itaaminika na makundi yote kwamba ipo neutral Kwahiyo itoe mgombea ili kunusuru chama kisigawanyike. Lakini muhimu zaidi hapa ni kwamba nadhani pia kundi namba saba litapewa conditions kama vile kuwapa immunity watu fulani fulani na ndio hapo hoja yako kwamba hali itakuwa mbaya zaidi 2015 kuliko sasa, inapokuwa na mashiko. Lakini ni muhimu pia nikatamka kwamba kwa kweli hadi sasa hatuna uhakika ni kundi gani hasa ndilo litakalohitaji immunity kwani kwa kweli bado hatujui ukweli wa mambo ni upi. Nadhani naeleweka hapa.

That being said, nadhani pia kundi la immunity litapewa nafasi ya uspika na vile vile kofia ya rais na mwenyekiti aidha itatenganishwa na kiti cha mwenyekiti kiende kwa kundi la immunity, au litapewa nafasi ya waziri mkuu, huku nafasi hiyo ikirekebishwa kidogo baada ya mchakato wa katiba mpya. Lakini muhimu zaidi ni kundi la immunity kupata nafasi ya mwenyekiti wa chama nay a spika ili kuweza ku control bunge na chama. Ni hapo ndipo chama kitapasuka katika vipande viwili vikubwa huku kila kundi likiwa na philosophy ya LIWALO LIWE. Pia pengie nitamke tu kwamba nadhani uchaguzi mkuu ujao utakuwa baada ya 2015 kutegemeana na muundo wa utawala utakavyokuwa kutokana na maoni ya katiba mpya kwani kama kutakuwa na serikali tatu ni dhahiri uchaguzi utasogezwa mbele ili kujenga mazingira mapya. At the end of the day, nadhani the UNION QUESTION and IMMUNITY POLITICS will pave way for CCM’s extinction.
 
Mchambuzi, My speculation ni kwamba CCM will sneak out with a female candidate to get away from conflict and neutralise the enemity that is currently chewing the party. CDM is likely to get stack on that cause so far they dont have much of potential female on the list, this is so important to consider as an issue.

Na lile kundi la 5. ulilolitaja hapo juu la Wazee waliopita linaweza kutumika kuepuka uwezekano wa mapambano. Nimefuatilia uchambuzi wako kwa kweli ni mzuri sana. Kuna kitu kimoja, umegundua kuna kundi jipya linaloimarishwa sasa? Hili linamuunga Mkono raisi na hao watakaopendekezwa nae? Na kutokana na Rais JK kujifunza kutokana na makosa yaliyojitokeza na ugumu wa kukisimamia chama, nadhani ataungana na Wazee uliowataja kukiokoa chama. Hawa tayari wamepewa nafasi nyeti katika Wizara Nyeti kuhakikisha CCM ina weka ushahidi wa kimaendeleo. Hawwa wanaaminika hupenda kufanya kazi zao kwa matokeo na si watu waoga sana, lakini kundi hili ni la watu CCM na serikali inaamini wanaokubalika sana na watu (public, rejea mkutano wa Jangwani).

Kuna shida kubwa sana uchaguzi ujao, si ajabu Katiba inakimbizwa kwa kasi ya ajabu kuokoa matatizo mengi pamoja na uliyoyataja. Kubwa ni tatizo la Muungano. Maraisi wawili tayari wameongoza kwa mikupuo miwili kutoka Bara, hapa swala la Ukristo na Uislamu sio tatizo, tatizo ni la Ubara na U-visiwani ambalo tayari ni hoja kubwa sasa. Je Katiba itaridhia Mgombea Binafsi? Ili kuwapata watu kama Mh Augustine Ramadhani? Au srikali Tatu na kutoa madaraka zaidi kwa serikali ya Visiwani ili Raisi wa Muungano asiwe ishu kubwa?

Asante Mchambuzi kwa mjadala huu mzuri, hasa ukizingatia CCM ina na fasi kubwa bado ya kushinda, achilia mbali ushabiki wa kisiasa, kama hawataendelea na makosa yaliyowagharimu kwa kipindi hiki. Nashukuru hakunaga kura za Maoni au zipo ila viognozi wetu wasingezi-favour maana kwa kweli CCM ingekuwa chini sana kipindi kifupi kilichopita. Kwa sasa sio mbaya, kwa haraka haraka hasa jinsi serikali ilivyoshughulikia maswala nyetio ya kitaifa hivi karibuni, Imani imeongezeka bila shaka.

Nashukuru kwa mchango wako Profesa. Kimsingi nakubaliana na wewe kuhusu siasa za female candidate kwani hii ni moja ya karata muhimu walizobakia nazo CCM kuelekea 2015. Lakini mimi nadhani kwamba kama lengo ni hilo, ilitakiwa mwanamke husika awekwe kwenye tume ya katiba kwa sababu kuu tatu nne:


  1. Mwanamama huyo apate nafasi ya kutembea nchi nzima na kupima joto la kisiasa;
  2. Ajifunze (first hand) matatizo yanayowakabili wananchi;
  3. Aanze kutambulika to the electorate;
  4. Na iwapo atateuliwa, awe katika nafasi nzuri ya kujinadi kama one of the framers of the new constitution kwani suala hili litakuwa na uzito sana katika siasa za uchaguzi mkuu ujao;

Kuhusu kundi la wazee – Je, kwa maoni yako, nini ni nafasi ya ile barua nzito ya Butiku kwenda kwa mkapa inayoonya kuhusu matatizo yaliyopo ndani ya chama na kupendekeza nini kifanyike kukinusuru chama?
Mimi nadhani ule ndio msimamo wa kundi hili la wazee as we speak na nadhani wataweka bayana kwamba kama wanahitajika, basi wafanyie kazi ile barua kwanza.

Nakubaliana na wewe kuhusu the UNION QUESTION na potential impact ya suala hili kwenye uchaguzi mkuu ujao. Ndio maana mimi nahisi uchaguzi mkuu utasogezwa beyond 2015 ili kupisha maandalizi ya mazingira to accommodate mgombea binafsi (iwapo suala hili litawekwa ndani ya katiba mpya) na pia kama katiba mpya itazaa serikali tatu kwani serikali tatu ina maana kwamba mfumo mzima wa chaguzi zetu zitabadilika. Lakini nadhani suala la mgombea binafsi watanzania watapigwa danadana kwa hoja za ovyo ovyo kwani hata viongozi wa kizazi kipya wa CCM kama Nape hawakubaliani na hoja hii, hivyo sio dalili nzuri kwamba tutapata nafasi ya kuchagua wagombea binafsi.

Na mwisho, kuhusu imani ya wananchi kwa chama tawala (CCM) kuimarika katika miezi 6 na ushee iliyopita, this is not good news to the opposition. Nitajaribu kufafanua: Kwa miaka mingi sana Tanzania imekuwa inaongozwa katika mazingira ya kisiasa yanayotawaliwa na ideological vacuum – ombwe la kiitikadi. The electorate, au umma kwa ujumla hauna vigezo vya msingi vya kutofautisha siasa za vyama zaidi ya suala la utendaji, uwajibikaji na usimamizi wa rasilimali za umma. Katika mazingira ya sasa ya ambapo serikali imeanza to improve katika maeneo ya utendaji, uwajibikaji, na usimamizi wa rasilimali za umma, ombwe la kiitikadi will favour CCM as we head towards 2015 kwani mapungufu ya CCM - utendaji, uwajibikaji, na usimamizi wa rasilimali za umma, ambayo Chadema imeyatumia kujijenga kisiasa, sasa yameanza kufanyiwa kazi na cha kushangaza ni kwamba sio tu yanaelekea kuifaidisha Chadema kisiasa, lakini vilevile yanaifaidisha CCM.
 
I like your analysis and cant agree with you more. But do you think authority isnt much of an issue if they are very well organised and instead they should utilize the resources that they have access kujijengea legitimacy in the eyes of the electorate? And since you have been close to this camp, do you think they will die in their ideological boots (CCM) or there is a chance that they may join the opposition wagon - not neccesarily by quitting CCM but supporting the opposition? After all, if Nyerere made it clear that CCM SIO MAMA YANGU, NAWEZA KUACHANA NAYO, who are they to be on a collision course na Nyerere? what would make them stay katika mazingira ambayo chama kipo katika hali mbaya zaidi compared to wakati ule when Mwalimu made that statement. Nauliza/nasema haya because i am still trying to digest your seminal statement that in order for them to succeed, they would need both - resources and authority and the only way they can acquire that is by being disloyal to their party (CCM). I think loyalty in this context has to be inspired by love for one's country because one can interchange the word loyalty and patriotic. If you agree with me on that, I think 'authority' may not be as important as 'legitimacy'.
Kwa kifupi, authority inakuwa kazi kupatikana kwa sababu ina-involve party politics both inter and intra.

Legitimacy comes fom the franchise/electorate na kupatikana kwake through mikutano ya katiba itakuwa kazi sana kwa sababu bado sijaona wasimamizi wakijaribu kuprovoke masuala ya "sifa za kiongozi" kuwepo kwenye katiba ya jamhuri sembuse ya Chama.

Hii inaonyesha kuwa kundi hili limechukua "Executive" power badala ya "Political" power within the party na kuliachia kundi la wapinga ufisadi, "an intellectual" power (by intellectual, I don't mean possession of scientific knowledge but wisdom that's accrued over time and this is like a "spiritual" knowledge posessed by merely being in the party for a long time a.k.a "eldermen").

The roles have been messed up to protect the status quo. Purposely or Accidentally, I don't know.
 
Kwa kifupi, authority inakuwa kazi kupatikana kwa sababu ina-involve party politics both inter and intra.

Legitimacy comes fom the franchise/electorate na kupatikana kwake through mikutano ya katiba itakuwa kazi sana kwa sababu bado sijaona wasimamizi wakijaribu kuprovoke masuala ya "sifa za kiongozi" kuwepo kwenye katiba ya jamhuri sembuse ya Chama.

Hii inaonyesha kuwa kundi hili limechukua "Executive" power badala ya "Political" power within the party na kuliachia kundi la wapinga ufisadi, "an intellectual" power (by intellectual, I don't mean possession of scientific knowledge but wisdom that's accrued over time and this is like a "spiritual" knowledge posessed by merely being in the party for a long time a.k.a "eldermen").

The roles have been messed up to protect the status quo. Purposely or Accidentally, I don't know.

The trouble is, sometimes, we look into this in a more philosophical way and put a lot of factors into consideration than we should be. The fact is, it is much more easier to get the right answer by looking at it in a more simplistic way than we do now, and that is how key players in the game do to make their political calculations.

Most of those up there in our political ladder do not care a damn thing about Tanzania, the most they think is saving their asses like you said. Now that it is slowly coming into light that trillions have been hidden in Switzerland, asses behind those trillions will work so hard in the build up to 2015. If majority of Tanzanian voters knew this how some of our heavyweight politicians think, no ass would be saved. Or it would be wise to tell them that we will vote for you and save your *ss, but your *ss will only be saved if you do a b c d, otherwise...........

Nguvu inatakiwa kuwa kwa wananchi zaidi, kwa kuwaeleimisha nani ni nani. Wish Mwalimu was here, sasa nchi yetu ni kama shamba la bibi!
 
Nguvu inatakiwa kuwa kwa wananchi zaidi, kwa kuwaeleimisha nani ni nani. Wish Mwalimu was here, sasa nchi yetu ni kama shamba la bibi!

Tulijisahau sana kama taifa kujipanga kuwa salama for the post mwalimu era. Lakini nadhani tatizo ni kwamba walimuondoa ghafla, so hatukupata muda wa kujiandaa. Lakini ebu nikuulize mkuu, Mwalimu angekuwepo nini kingekuwa tofauti, taking into account misuko suko aliyokuwa anaipata as well. Usalama wetu ungekuwa kupitia CCM au upinzani?
 
Tulijisahau sana kama taifa kujipanga kuwa salama for the post mwalimu era. Lakini nadhani tatizo ni kwamba walimuondoa ghafla, so hatukupata muda wa kujiandaa. Lakini ebu nikuulize mkuu, Mwalimu angekuwepo nini kingekuwa tofauti, taking into account misuko suko aliyokuwa anaipata as well. Usalama wetu ungekuwa kupitia CCM au upinzani?

Mkuu Mwalimu had moral authority, when he said JK/Lowassa bid is not good for us he could make his case na alisikilizwa, Ben Mkapa akaingia. Alisema upinzani si mbaya lakini haukuwa tayari kuongoza nchi, he was right then. Katika kipindi cha uhai wake baada ya kung'atuka, mwalimu alionekana kuwa serious na kujali nani anayeongoza nchi na jinsi anavyoongoza nchi. Sasa hivi wazee wetu ni kama wote wako kimya na hawajali, uhuni, wizi na ubabaishaji unafanyika inakuwa kama ni hali ya kawaida tu. Nyerere alidiriki hata kuandika kitabu kuhusu Uongozi wetu na Hatma yetu, nadhani angekuwa hai sasa huenda angeandika vitabu kuhusu serikali ya JK (may be JK hata asisngekuwa rais JKN angekuwepo). Angalia MZee Salim. Warioba, Msuya, Mbita, list goes on wanafanya nini? Taifa linakwenda ovyo na wako kimya tu, Nyerere asingekuwa hivyo. Angekuwepo nadhani angesema kwamba hii si sahihi ibadilishwe.

Nina wasiwasi sana na uwezo wa upinzani kuongoza kwa kuwa hadi dakika hii sioni kama wana nguvu ya kuweza kuunda timu ya wapinzani per se kuongoza nchi na kuifanya iwe salama, lazima kuwe na mkono wa CCM. Nadhani unaona jinsi vyama vya upinzani vilivyo na mapandikizi ya CCM na hata wanavyoonesha kuwa na uchu wa uongozi ndani ya vyama vyao hata uchu wa kugombea nafasi za uongozi, kwa kiasi fulani inatia shaka kidogo. Hata kama leo CDM, CUF wakishinda urais wa bara hawawezi kutawala efficiently na effectively peke yao, kwa hiyo tutake tusitake kui-reform CCM, kuwa na Katiba ya maana na hata sisi wenyewe kubadilisha kidogo akili zetu ndio salama ya Tanzania. Tukijenga institutions ambazo zitakuwa stable bila kujali nani yuko madarakani hiyo ndio itakuwa salama yetu, how do we do it? that is another question. Otherwise tutaendelea kupiga kwata.
 
Mkuu Mwalimu had moral authority, when he said JK/Lowassa bid is not good for us he could make his case na alisikilizwa, Ben Mkapa akaingia. Alisema upinzani si mbaya lakini haukuwa tayari kuongoza nchi, he was right then. Katika kipindi cha uhai wake baada ya kung'atuka, mwalimu alionekana kuwa serious na kujali nani anayeongoza nchi na jinsi anavyoongoza nchi. Sasa hivi wazee wetu ni kama wote wako kimya na hawajali, uhuni, wizi na ubabaishaji unafanyika inakuwa kama ni hali ya kawaida tu. Nyerere alidiriki hata kuandika kitabu kuhusu Uongozi wetu na Hatma yetu, nadhani angekuwa hai sasa huenda angeandika vitabu kuhusu serikali ya JK (may be JK hata asisngekuwa rais JKN angekuwepo). Angalia MZee Salim. Warioba, Msuya, Mbita, list goes on wanafanya nini? Taifa linakwenda ovyo na wako kimya tu, Nyerere asingekuwa hivyo. Angekuwepo nadhani angesema kwamba hii si sahihi ibadilishwe.

Nina wasiwasi sana na uwezo wa upinzani kuongoza kwa kuwa hadi dakika hii sioni kama wana nguvu ya kuweza kuunda timu ya wapinzani per se kuongoza nchi na kuifanya iwe salama, lazima kuwe na mkono wa CCM. Nadhani unaona jinsi vyama vya upinzani vilivyo na mapandikizi ya CCM na hata wanavyoonesha kuwa na uchu wa uongozi ndani ya vyama vyao hata uchu wa kugombea nafasi za uongozi, kwa kiasi fulani inatia shaka kidogo. Hata kama leo CDM, CUF wakishinda urais wa bara hawawezi kutawala efficiently na effectively peke yao, kwa hiyo tutake tusitake kui-reform CCM, kuwa na Katiba ya maana na hata sisi wenyewe kubadilisha kidogo akili zetu ndio salama ya Tanzania. Tukijenga institutions ambazo zitakuwa stable bila kujali nani yuko madarakani hiyo ndio itakuwa salama yetu, how do we do it? that is another question. Otherwise tutaendelea kupiga kwata.

Nakubaliana na wewe kuhusu mwalimu na moral authority, ila nina mashaka kama nguvu za mafisadi na pia za mabwanyenye wa nje ambao hawa mafisadi ni vibaraka wao, mwalimu sidhani kama angeweza shindana na nguvu hii, angelemewa na kubakia kuandika tu vitabu. Labda kama umma ungeamka na kuwa nyuma yake. Sijui, may be i am wrong.

Kuhusu kina Mbita, Msuya, Warioba, Salim na wengine, kwa kweli hawana uwezo wa kuleta mabadiliko yoyote kwani unlike mwalimu, hawa in one way or another wanategemea sana serikali ya CCM katika kuwatunza, kuwapa ulinzi, nyumba n.k; unless atokee mmoja ambae atakuwa tayari kwenda kuishi kwenye nyumba ya nyasi kijijini na kuachana na modernity, na pia akiwa huko awe na uhakika na usalama wake iwapo atakuwa critical of CCM na serikali yao.

Kuhusu upinzani kutokuwa tayari kushika madaraka ya nchi, inategemea una maana gani, vinginevyo nafasi za kisiasa i.e. zinazohitaji mtu kuwa na political affiliation sio nyingi sana. Watendaji kwenye mashirika ya umma na wale serikalini kisheria hawatakiwi kuwa na affiliation na chama chochote, so wengi wao wataendelea tu na nafasi zao, na actually wengi sana wapo against CCM na ndio watoaji wakubwa wa siri za madudu ya serikali ya CCM. Vinginevyo katiba mpya nadhani inafuta ulazima wa waziri na naibu waziri kuwa mbunge. Ni muhimu suala la ubunge na uwaziri likabakia kwa waziri mkuu tu.
 
Nakubaliana na wewe kuhusu mwalimu na moral authority, ila nina mashaka kama nguvu za mafisadi na pia za mabwanyenye wa nje ambao hawa mafisadi ni vibaraka wao, mwalimu sidhani kama angeweza shindana na nguvu hii, angelemewa na kubakia kuandika tu vitabu. Labda kama umma ungeamka na kuwa nyuma yake. Sijui, may be i am wrong.

Kuhusu kina Mbita, Msuya, Warioba, Salim na wengine, kwa kweli hawana uwezo wa kuleta mabadiliko yoyote kwani unlike mwalimu, hawa in one way or another wanategemea sana serikali ya CCM katika kuwatunza, kuwapa ulinzi, nyumba n.k; unless atokee mmoja ambae atakuwa tayari kwenda kuishi kwenye nyumba ya nyasi kijijini na kuachana na modernity, na pia akiwa huko awe na uhakika na usalama wake iwapo atakuwa critical of CCM na serikali yao.

Kuhusu upinzani kutokuwa tayari kushika madaraka ya nchi, inategemea una maana gani, vinginevyo nafasi za kisiasa i.e. zinazohitaji mtu kuwa na political affiliation sio nyingi sana. Watendaji kwenye mashirika ya umma na wale serikalini kisheria hawatakiwi kuwa na affiliation na chama chochote, so wengi wao wataendelea tu na nafasi zao, na actually wengi sana wapo against CCM na ndio watoaji wakubwa wa siri za madudu ya serikali ya CCM. Vinginevyo katiba mpya nadhani inafuta ulazima wa waziri na naibu waziri kuwa mbunge. Ni muhimu suala la ubunge na uwaziri likabakia kwa waziri mkuu tu.
Mchambuzi,
Nakubaliana na wewe. Nguvu za mafisadi zilishafikia kiasi ambacho Mwalimu asingeweza kushindana nazo out of power.
Kuna wakati nimekaa na Tundu Lissu, alipokuwa hapa Marekani na mambo aliyonieleza yalikuwa ni ya ajabu. Hata ndege zilizokuwa zimekodishwa kumsafirisha Mwalimu wakati anamkampenia Mkapa, bila Mwalimu kujua, zilikuwa zimelipiwa na mafisadi. Mwalimu aliamini kuwa Mkapa angeweza kurudisha nyuma hii tide ya nguvu za mafisadi, lakini walikuwa tayari wameshamweka Mkapa mtegoni. Matokeo yake ndiyo hayo tunayoyashuhudia leo.
 
Nakubaliana na wewe kuhusu mwalimu na moral authority, ila nina mashaka kama nguvu za mafisadi na pia za mabwanyenye wa nje ambao hawa mafisadi ni vibaraka wao, mwalimu sidhani kama angeweza shindana na nguvu hii, angelemewa na kubakia kuandika tu vitabu. Labda kama umma ungeamka na kuwa nyuma yake. Sijui, may be i am wrong.

Kuhusu kina Mbita, Msuya, Warioba, Salim na wengine, kwa kweli hawana uwezo wa kuleta mabadiliko yoyote kwani unlike mwalimu, hawa in one way or another wanategemea sana serikali ya CCM katika kuwatunza, kuwapa ulinzi, nyumba n.k; unless atokee mmoja ambae atakuwa tayari kwenda kuishi kwenye nyumba ya nyasi kijijini na kuachana na modernity, na pia akiwa huko awe na uhakika na usalama wake iwapo atakuwa critical of CCM na serikali yao.

Kuhusu upinzani kutokuwa tayari kushika madaraka ya nchi, inategemea una maana gani, vinginevyo nafasi za kisiasa i.e. zinazohitaji mtu kuwa na political affiliation sio nyingi sana. Watendaji kwenye mashirika ya umma na wale serikalini kisheria hawatakiwi kuwa na affiliation na chama chochote, so wengi wao wataendelea tu na nafasi zao, na actually wengi sana wapo against CCM na ndio watoaji wakubwa wa siri za madudu ya serikali ya CCM. Vinginevyo katiba mpya nadhani inafuta ulazima wa waziri na naibu waziri kuwa mbunge. Ni muhimu suala la ubunge na uwaziri likabakia kwa waziri mkuu tu.

Yeah may be asingeweza kuwa na nguvu sana, lakini alikuwa na connections sana ndani ya serikali na alikuwa ni political heavy weight very well connected to the mass ambaye anaweza kubadilisha mawazo ya mass kwa urahisi. Alikuwa pia ana uwezo wa kuitikisa serikali kwa speech moja tu, au hata kwa kakitabu kadogo tu. Kuna watu walikuwa hata wanaogopa kusikia jina lake, sasa hakuna anayeogopa. Siku hizi nadhani unasikia karibu kila siku, waziri anasema hili mwingine anapinga, mara rais anasema hadharani kuwa waziri umekosea, Nape anasema hili Mukama anasema lile, kila kitu in shambles kwenye chama, hakuna mtu wa kukiweka chama kwenye mstari
 
Tulijisahau sana kama taifa kujipanga kuwa salama for the post mwalimu era. Lakini nadhani tatizo ni kwamba walimuondoa ghafla, so hatukupata muda wa kujiandaa. Lakini ebu nikuulize mkuu, Mwalimu angekuwepo nini kingekuwa tofauti, taking into account misuko suko aliyokuwa anaipata as well. Usalama wetu ungekuwa kupitia CCM au upinzani?
Mchambuzi kama mimi ningekuwa CCM basi ningewashauri kuachana kabisa na kuunda team kwam ajili ya Uchaguzi wa 2015 na ku deala la matatizo yanayowazonga leo hii..Maadam chama kimeshindwa kubadilisha mfumo wa ELIMU na AFYA, chama hiki kinaliwa toka ndani na sidhani hayo makundi yatawasaidia kwa lolote. Ni miujiza jinsi CCM inavyopoteza umaarufu tena kwa gongwa linalotibika..

By 2014 sidhani kama makundi haya yatakuwa na umaarufu tena acha mbali watu kama Mandosya, Magufuli, makmaba na Asha Rose Migiro. Hawa wote hawatakuwa na ushawishi kwa wananchi hata kama fedha itatumika maana wananchi wanaliona joto la jiwe sasa hivi.

Ila nakubaliana na wewe sana tu kwamba CCM lazima watachukua kiti kikubwa (IKULU) hata kama watashindwa uchaguzi kwa sababu NEC bado itakuwa chombo cha serikali na nawahakikishieni hata kama katiba mpya itatoka bado NEC, UWT na TAKUKURU zitakuwa chini ya ofisi ya rais kwa sababu haiwezekani kuwa huru vyombo hivi muhimu ktk Usalama wa Taifa hasa kwa nchi maskini na tete kama yetu. Sababu zitapatikana na itakuwa toolate kuzibadilisha au kufanya marekebisho..
End of the day - CCM itaingia madarakani kwa upanga na sijui kama itaondolewa kwa upanga...
 
Mchambuzi kama mimi ningekuwa CCM basi ningewashauri kuachana kabisa na kuunda team kwam ajili ya Uchaguzi wa 2015 na ku deala la matatizo yanayowazonga leo hii..Maadam chama kimeshindwa kubadilisha mfumo wa ELIMU na AFYA, chama hiki kinaliwa toka ndani na sidhani hayo makundi yatawasaidia kwa lolote. Ni miujiza jinsi CCM inavyopoteza umaarufu tena kwa gongwa linalotibika..

By 2014 sidhani kama makundi haya yatakuwa na umaarufu tena acha mbali watu kama Mandosya, Magufuli, makmaba na Asha Rose Migiro. Hawa wote hawatakuwa na ushawishi kwa wananchi hata kama fedha itatumika maana wananchi wanaliona joto la jiwe sasa hivi.

Ila nakubaliana na wewe sana tu kwamba CCM lazima watachukua kiti kikubwa (IKULU) hata kama watashindwa uchaguzi kwa sababu NEC bado itakuwa chombo cha serikali na nawahakikishieni hata kama katiba mpya itatoka bado NEC, UWT na TAKUKURU zitakuwa chini ya ofisi ya rais kwa sababu haiwezekani kuwa huru vyombo hivi muhimu ktk Usalama wa Taifa hasa kwa nchi maskini na tete kama yetu. Sababu zitapatikana na itakuwa toolate kuzibadilisha au kufanya marekebisho..
End of the day - CCM itaingia madarakani kwa upanga na sijui kama itaondolewa kwa upanga...

Mkuu kama NEC ikiendelea kuwa chini ya Ikulu na serikali na kuendelea kuchakachua matokeo ya uchaguzi kama uchaguzi uliopita, kama TISS itaendelea kufanya kazi kwa sheria ya usalama wa taifa ya sasa ya kukilinda chama na viongozi wake na si kulinda usalama wa taifa, kama PCCB itaendelea kufanya kazi katika sheria na mazingira kama ya sasa kuwakamata wadokozi na kuwaacha mafisadi wakubwa, kama bunge litaendelea kuwa kamati ya CCM, kama hatutainua kigezo cha elimu kwa wabunge wetu, kama preventive detention act itaendelea kuwa kama ya sasa (tuliyorithi kwa Gavana wa Uingereza), kwa ujumla kama mapendekezo ya tume za Nyalali, Warioba, Kisanga hayatatekelezwa .....maana yake ni kwamba katiba haitakuwa imebadilishwa, itakuwa ni hii hii ya sasa kwa jina lengine.

Possibility ya CCM kuja kutolewa madarakani wa nguvu sasa inasemeka kwa urahisi sana kuliko zamani, kwa kuwa CCM ya zamani iko tofauti sana na ya sasa. Unajua mafisadi waliona kuwa hawana njia nyingine ya kupata madaraka bila kuinunua CCM, sasa wameikamata hawawezi kuiuza, kwa hiyo suluhisho ni chama chenye matajiri wakubwa zaidi au aje orator anaweza kuwashawishi wananchi, nyingine ni kutumia mabavu. Kwa hiyo removing it by force is now talkable.
 
Mkuu kama NEC ikiendelea kuwa chini ya Ikulu na serikali na kuendelea kuchakachua matokeo ya uchaguzi kama uchaguzi uliopita....

...Possibility ya CCM kuja kutolewa madarakani wa nguvu sasa inasemeka kwa urahisi sana kuliko zamani, kwa kuwa CCM ya zamani iko tofauti sana na ya sasa...

Binafasi i remain to wonder:

*Je, utaratibu wa sasa chini ya NEC kwamba mshindi ni mshindi hata kama amepata 50.1% dhidi ya 49.9%, je utaratibu huu Chadema wapo tayari kuingia nao kwenye kindumbwe ndumbwe cha 2015?

*Je utakuwa na athari zipi katika siasa za nchi yetu iwapo Chadema watafanya vizuri kwenye uchaguzi 2015 kama CUF (2010)?

*Je, given the fact kwamba chadema imekuwa inawabeza sana CUF kwa kufunga ndoa na CCM zanzibar wakati ukweli ni kwamba utaratibu wa kupata mshindi ni huo hapo juu, Chadema ikija fungana na CCM kwa kura kwa mtindo unaofanania na ule wa matokeo ya uchaguzi zanzibar 2010, je mazingira yakipelekea CCM na Chadema kuunda serikali ya pamoja, je na wao watakubali ndoa kama CUF?
 
Binafasi i remain to wonder:

*Je, utaratibu wa sasa chini ya NEC kwamba mshindi ni mshindi hata kama amepata 50.1% dhidi ya 49.9%, je utaratibu huu Chadema wapo tayari kuingia nao kwenye kindumbwe ndumbwe cha 2015?

*Je utakuwa na athari zipi katika siasa za nchi yetu iwapo Chadema watafanya vizuri kwenye uchaguzi 2015 kama CUF (2010)?

*Je, given the fact kwamba chadema imekuwa inawabeza sana CUF kwa kufunga ndoa na CCM zanzibar wakati ukweli ni kwamba utaratibu wa kupata mshindi ni huo hapo juu, Chadema ikija fungana na CCM kwa kura kwa mtindo unaofanania na ule wa matokeo ya uchaguzi zanzibar 2010, je mazingira yakipelekea CCM na Chadema kuunda serikali ya pamoja, je na wao watakubali ndoa kama CUF?

Mchambuzi tuwe tunaangalia facts. Kwa sasa NEC niko ovyo sana, kuna sheria inasema NEC ikitangaza matokeo, nadhani ya urais hakuna anayeweza kupinga hata kwenda mahakamani. Assumption yake ni kwamba, CCM inashinda na ina uwezo wa kuchakachua. Lakini what if inatokea scenario CCM inapata asilimia 30 na Chadema inapata 70, na NEC ikatangaza CCM ni mshindi? kwa mujibu wa sheria atakayetangazwa na NEC ndio mshindi, sijui hali kama hii italeta nini.

Kimsingi scenario ya Zanzibar inakuja bara....Zanzibar kwenye chaguzi zote zilizopita ikiwa na hii ya sasa uchakuchuaji ulikuwa ukifanyika, lakini hata uchakachuaji una ukomo kuna wakati watu wanachoka. Proportiona presentation is best option kwenye multiparty politics hasa kwa nchi kama Tanzania. Hatuuna mazingira ya political torerance kama Marekani ya winner takes all, au yale ya Uingereza. Hata uingereza kwenye sasa inaonekana kuwa ni de facto tri party country. Unajua CCM inahodhi madaraka kwa sheria kama za sasa, kwa hiyo ukiangalia hali halsi ni kuwa CCM ikipoteza mvuto, sheria kama hizo ndio zitakuwa chanzo cha mikoroganyo na mapambano nchini.
 
Mchambuzi tuwe tunaangalia facts. Kwa sasa NEC niko ovyo sana, kuna sheria inasema NEC ikitangaza matokeo, nadhani ya urais hakuna anayeweza kupinga hata kwenda mahakamani. Assumption yake ni kwamba, CCM inashinda na ina uwezo wa kuchakachua. Lakini what if inatokea scenario CCM inapata asilimia 30 na Chadema inapata 70, na NEC ikatangaza CCM ni mshindi? kwa mujibu wa sheria atakayetangazwa na NEC ndio mshindi, sijui hali kama hii italeta nini.

Kimsingi scenario ya Zanzibar inakuja bara....Zanzibar kwenye chaguzi zote zilizopita ikiwa na hii ya sasa uchakuchuaji ulikuwa ukifanyika, lakini hata uchakachuaji una ukomo kuna wakati watu wanachoka. Proportiona presentation is best option kwenye multiparty politics hasa kwa nchi kama Tanzania. Hatuuna mazingira ya political torerance kama Marekani ya winner takes all, au yale ya Uingereza. Hata uingereza kwenye sasa inaonekana kuwa ni de facto tri party country. Unajua CCM inahodhi madaraka kwa sheria kama za sasa, kwa hiyo ukiangalia hali halsi ni kuwa CCM ikipoteza mvuto, sheria kama hizo ndio zitakuwa chanzo cha mikoroganyo na mapambano nchini.

Nakubaliana na wewe. Naomba tu niseme yafuatayo based on how your post has stimulated my thinking:

Kwanza naomba niseme tu ukweli kwamba kwa utafiti wangu ambao pengine sio credible, CCM kushinda urais 2015 ni vigumu sana kama uchaguzi utakuwa fair and transparent; Mimi ni mwanachama wa CCM, lakini kama raia mwingine yoyote, na nina haki ya kutoa maoni yangu objectively, na kwa mujibu wa my immediate experience of actual things and events in this context, urais 2015 ni mgumu sana for CCM. Chadema stands a better chance kushinda 2015 kuliko CCM, but as long as they tie loose ends that exists, ambazo nilizijadili kwenye uzi mwingine titled: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tujadili-utayari-wa-kutawala-nchi-2015-a.html.

So ushindi wa Chadema 2015 upo imminent, but swali linalofuatia ni je, wataweza kutawala?

Binafsi sidhani kama wataweza kwa sababu, kama nilivyokwisha jadili elsewhere, umma umeichoka CCM na upo tayari kuiondoa CCM immediately; Chadema wanafanya kosa la kuaminisha umma kwamba fine, we can remove CCM immediately kwa ridhaa yenu and provide you with "immediate solutions"; hili ni tatizo kubwa sana Chadema inajijengea. Sina maana kwamba Chadema wanazunguka na kusema watatua hili na lile within a short time frame, lakini hawafanyi kazi kugeuza fikra za umma ambazo zina upeo huo mfupi; Chadema ilitakiwa kuaminisha umma kwamba we need to reconstruct this country together first then ndio tuje kujipanga to develop, na watakaofaidika na project hii ni watoto na wajukuu zenu, sio nyinyi, faida mtakayoiona nyinyi ni stoppage ya utawala wa kubabaisha na usio na manufaa kwa walio wengi. Vinginevyo iwapo watanzania wamevumilia kwa miaka 50, kwanini washindwe kuvumilia kwa miaka 15-20 ili reconstruction project ikimalizika, development ndio ianze to materialise kwao? Ndio maana ninalazimika kuamini kwamba, unless Chadema inaanzisha project ya RECONSTRUCTION AND DEVELOPMENT FOR 2015 AND BEYOND - na umma uelewe na ushibe dhana hii , CCM itarudi 2020 kwa kishindo kikubwa sana na upinzani kushinda tena urais Tanzania itakuwa ngumu mno beyond 2025 and for the next foreseable future. Otherwise it is for Chadema themselves to loose;
 
Kuhusu upinzani kutokuwa tayari kushika madaraka ya nchi, inategemea una maana gani, vinginevyo nafasi za kisiasa i.e. zinazohitaji mtu kuwa na political affiliation sio nyingi sana. Watendaji kwenye mashirika ya umma na wale serikalini kisheria hawatakiwi kuwa na affiliation na chama chochote, so wengi wao wataendelea tu na nafasi zao, na actually wengi sana wapo against CCM na ndio watoaji wakubwa wa siri za madudu ya serikali ya CCM. Vinginevyo katiba mpya nadhani inafuta ulazima wa waziri na naibu waziri kuwa mbunge. Ni muhimu suala la ubunge na uwaziri likabakia kwa waziri mkuu tu.

Mkuu Mchambuzi, kwa mtazamo wangu hawa watendaji ndio tatizo kubwa. Hakika tumekuwa tukiwapiga mawe wanasiasa mf. mawaziri au viongozi wa kuteuliwa; na baadhi yao huondolewa kwenye nafasi hizo lakini hali haibadiliki kwa vile wahalifu wenyewe hubakia. Kwa uchunguzi nilioufanya kwa miaka kadhaa nakuhakikishia mafisadi wakubwa wa nchi ni watendaji waliopo kwenye ofisi za umma.
Nashindwa kuona tutawezaje kusafisha nyumba hii kwa kubadili wanasiasa peke yake huku watendaji wengine wakibaki vilevile?
Kama kuna chama kikabahatika kushiinda ccm 2015 wajiandae kufanya 'complete engine overhaul' vinginevyo baada ya miaka 5 tutajikuta tunabadilisha uongozi tena.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mchambuzi, kwa mtazamo wangu hawa watendaji ndio tatizo kubwa. Hakika tumekuwa tukiwapiga mawe wanasiasa mf. mawaziri au viongozi wa kuteuliwa; na baadhi yao huondolewa kwenye nafasi hizo lakini hali haibadiliki kwa vile wahalifu wenyewe hubakia. Kwa uchunguzi nilioufanya kwa miaka kadhaa nakuhakikishia mafisadi wakubwa wa nchi ni watendaji waliopo kwenye ofisi za umma.
Nashindwa kuona tutawezaje kusafisha nyumba hii kwa kubadili wanasiasa peke yake huku watendaji wengine wakibaki vilevile?
Kama kuna chama kikabahatika kushiinda ccm 2015 wajiandae kufanya 'complete engine overhaul' vinginevyo baada ya miaka 5 tutajikuta tunabadilisha uongozi tena.

Ni kweli lakini kumbuka kwamba hawa ni watendaji/watumishi wa umma wasio na affiliation na chama chochote cha siasa (kwa mujibu wa sheria); kuwaondoa ovyo ovyo haitawezekana kwani wana mikataba na pia itahitaji ushahidi wa hali ya juu kwamba kweli wao ndio tatizo; vinginevyo mishandling ya suala hili na chama chochote kitachoiondoa CCM madarakani 2015 itakuwa counter productive kwa chama hicho na pengine kukiletea athari kubwa kisiasa in 2020 or even before that;
 
Mchambuzi,
Nakubaliana na wewe. Nguvu za mafisadi zilishafikia kiasi ambacho Mwalimu asingeweza kushindana nazo out of power.
Kuna wakati nimekaa na Tundu Lissu, alipokuwa hapa Marekani na mambo aliyonieleza yalikuwa ni ya ajabu. Hata ndege zilizokuwa zimekodishwa kumsafirisha Mwalimu wakati anamkampenia Mkapa, bila Mwalimu kujua, zilikuwa zimelipiwa na mafisadi. Mwalimu aliamini kuwa Mkapa angeweza kurudisha nyuma hii tide ya nguvu za mafisadi, lakini walikuwa tayari wameshamweka Mkapa mtegoni. Matokeo yake ndiyo hayo tunayoyashuhudia leo.

Jasusi,

Holy cr@p !!! I thought Nyerere was saint? Miraculously he should have detected this.
 
Jasusi,

Holy cr@p !!! I thought Nyerere was saint? Miraculously he should have detected this.

Zakumi,
I think it was too late. Mwalimu thought/believed Mkapa was the last frontline to reverse this corrupt trend in our system. He gets in power, commissions the Warioba report with good proposals, but then turns around saying he is not going to witch hunt and jumps on the bandwagon. And here we are today with Mr. corrupt himself in the state house.
 
Mkuu Mwalimu had moral authority, when he said JK/Lowassa bid is not good for us he could make his case na alisikilizwa, Ben Mkapa akaingia. Alisema upinzani si mbaya lakini haukuwa tayari kuongoza nchi, he was right then. Katika kipindi cha uhai wake baada ya kung'atuka, mwalimu alionekana kuwa serious na kujali nani anayeongoza nchi na jinsi anavyoongoza nchi. Sasa hivi wazee wetu ni kama wote wako kimya na hawajali, uhuni, wizi na ubabaishaji unafanyika inakuwa kama ni hali ya kawaida tu. Nyerere alidiriki hata kuandika kitabu kuhusu Uongozi wetu na Hatma yetu, nadhani angekuwa hai sasa huenda angeandika vitabu kuhusu serikali ya JK (may be JK hata asisngekuwa rais JKN angekuwepo). Angalia MZee Salim. Warioba, Msuya, Mbita, list goes on wanafanya nini? Taifa linakwenda ovyo na wako kimya tu, Nyerere asingekuwa hivyo. Angekuwepo nadhani angesema kwamba hii si sahihi ibadilishwe.

Nina wasiwasi sana na uwezo wa upinzani kuongoza kwa kuwa hadi dakika hii sioni kama wana nguvu ya kuweza kuunda timu ya wapinzani per se kuongoza nchi na kuifanya iwe salama, lazima kuwe na mkono wa CCM. Nadhani unaona jinsi vyama vya upinzani vilivyo na mapandikizi ya CCM na hata wanavyoonesha kuwa na uchu wa uongozi ndani ya vyama vyao hata uchu wa kugombea nafasi za uongozi, kwa kiasi fulani inatia shaka kidogo. Hata kama leo CDM, CUF wakishinda urais wa bara hawawezi kutawala efficiently na effectively peke yao, kwa hiyo tutake tusitake kui-reform CCM, kuwa na Katiba ya maana na hata sisi wenyewe kubadilisha kidogo akili zetu ndio salama ya Tanzania. Tukijenga institutions ambazo zitakuwa stable bila kujali nani yuko madarakani hiyo ndio itakuwa salama yetu, how do we do it? that is another question. Otherwise tutaendelea kupiga kwata.

Nyerere wasn't right back then. He should have left the political dynamics within the ruling party and within the country to take shape without his divine intervention.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom