Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Mkutano wa juzi wa CCM umerihirisha rasmi kuwa CCM na serikali yake wanamuogopa Laigwani. Haiwezekani kila siku watu wanaongea kwenye korido eti Lowassa fisadi. CCM na serikali yake ina vyombo vya dola lakini inaishia kupiga kelele kwenye vyombo vya habari. Huo ni uoga usio na maana,kama wana ushahidi si waende mahakamani? Na kwa busara ya hali ya juu Laigwani yupo zake kimya anawaangalia tu wanavyotapatapa. Mkutano wa juzi umedhihirisha ni kiasi gani Lowassa anaogopwa.
Mzee wa upako nae alivyohojiwa kuhusu Lowassa kutajwa sana juzi alisema hivi nanakuu "Nani! Lowassa jina lake kutajwa sana katika vikao vya CCM. Hiyo inaashiria kuwa ni mtu tishio. Ndiyo ni tishio na sizungumzi haya kwa ajili ya kujipendekeza, sihitaji ukuu wa wilaya ”
Salute kwako Lowassa, watabaki kupiga kelele tu lakini hakuna atakaekugusa.
Mzee wa upako nae alivyohojiwa kuhusu Lowassa kutajwa sana juzi alisema hivi nanakuu "Nani! Lowassa jina lake kutajwa sana katika vikao vya CCM. Hiyo inaashiria kuwa ni mtu tishio. Ndiyo ni tishio na sizungumzi haya kwa ajili ya kujipendekeza, sihitaji ukuu wa wilaya ”
Salute kwako Lowassa, watabaki kupiga kelele tu lakini hakuna atakaekugusa.