Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
Wewe unaonekana kujua mengi kuhusu uingizaji wa magari haya. Hebu weka wazi na siyo kuwashutumu watu wadaku wakati wewe mwenyewe unaonekana pia mdakaji. Kama si mdakaji mkuu hebu eleza ilikuwaje hasa kuhusu ununuzi huu wa magari, vinginevyo na wewe huna unalolijua kaa kimya watu waeleze wanachofahamu. Au ndiyo kampeni zimeanza?
mbona zimeanza siku nyingi tu mkuu? kwa sasa ni za chini kwa chini japo wengine uvumiliv umeaisha wanaanza kupiga rasmi hadharani. mi nitajitokeza hadharani kwa nguvu kubwa februari, na kati ya watu nitakaowaomba kura ni pamoja na wewe!
haya magari ni mwendelezo tu wa kampeni.
happy new year