Kwa siku nyingi sasa najuliza huu mchezo wanacheza CCM na serikali yake kwa watoto wanaocheza halaiki ni sumu kubwa kwa vijana wetu. KINA MAMA NA WAZAZI KATAENI SASA WATOTO WENU KUFANYWA NDONDOCHA KWA KUIMBISHWA HALAIKI KILA SHEREHE ZA KITAIFA BADALA YA VIJANA HAO KWENDA SHULE.!!