BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Ndiyo kishatia timu nchini, MACCM wataenda kumpigia magoti ili awape billions za kuchakachua kura ya maoni na uchaguzi ujao huku wakimhakikishia kumpa eneo lolote alitakalo nchini kufanyia biashara.
Dangote hata Nigeria ni mshirika mkubwa wa Chama tawala