Ni ukweli usiopingika kuwa hali ya magamba Mbulu ni mbaya tangu 2010 mpaka sasa, japo CCM wanajaribu kutumia kikundi kidogo cha sarakasi cha tumaini group kama njia mojawapo ya kuvutia watu katika mikutano yao, ila wambulu ni watu wenye misimamo hasa kwa kile wanachokiamini [CHADEMA] na ushahidi ni pale kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani Dongobesh ambapo CHADEMA ilitetea kata yake bila matatizo japo CCM waligawa pesa nyingi sana kwa wananchi .