kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
TAARIFA YA KIKAO MAALUM CHA USURUHISHI WA MGOGORO
WAJUMBE WALIOHUDHURIA
1. Frank Matthew Mwenyekiti-Kamati ya usuruhishi/Mwenyekiti wa kikao
2. Mkude Augustine Katibu-Kamati ya usuruhishi/ Katibu wa kikao
3. Anthony Rugimbana Mjumbe-Kamati ya usuruhishi
4. Michael Ndejembi Mjumbe
5. Misso Temu Mjumbe
6. Salum Rajabu Mjumbe
7. Simon Makangula Mjumbe
8. Isaac Kitogo Mjumbe
9. Abdallah Nyangasa Mjumbe
10. Innocent Batamula Mjumbe
11. Novastus Simba Mjumbe
12. Miraji Malewa. Mjumbe
WAJUMBE WALIOSHINDWA KUHUDHURIA
1.0 Ufunguzi
Mwenyekiti alielezea kuwa kamati ya usuruhishi imeundwa na Halmashauri Kuu ya CCM Tawi la Marekani ili kumaliza mgogoro uliopo kati ya pande mbili. Kamati ilichukua hatua ya kuonana na Ndg Kitogo, na kumuomba kufanya mkutano wa pamoja. Nao wakaridhia na ndio sababu ya kikao hiki kizito.
Mwenyekiti alitaarifu lengo kuwa ni kuondoa tofauti zilizopo kati ya CCM-Kitogo na CCM-Ndejembi na kuwa na CCM moja yenye nguvu na mwelekeo wa kichama na kutokuwa na chuki ama makundi.
Alitaka kikao hiki cha pamoja kitoe maamuzi na mwelekeo bora kwa chama.
Alifungua kikao saa 1:32 jioni.
1.1 Kupokea maelezo
Mr Kitogo:
Alielezea matatizo ya Mwenyekiti aliyekuwapo madarakani Mr Ndejembi kuwa ni pamoja na
-Kuendesha chama kama taasisi binafsi.
-kutopokea maoni/mapendekezo ya viongozi wenzake
-Kutotoa nyara na nyaraka muhimu za chama ikiwamo kuficha orodha ya wanachama.
-Kutumia lugha za matusi kwa wajumbe na kuwafokea viongozi wenzake.
-Kufanya mikutano binafsi bila wajumbe wengine na kutangaza maazimio bila wengine kuhudhuria.
Kutokana na matatizo mengi walimuandikia barua ya kujieleza ambayo hakuijibu na hivyo kumfukuza uenyekiti na nafasi hiyo akateuliwa yeye-Kitogo kushika kwa muda.
Mr. Ndejembi
Alielezea kukosa ushirikiano wa viongozi wenzake ambapo kulijitokeza kundi la kumpinga kwa makusudi kutokana ama na umri au uenyeji na hivyo alikuwa na wakati mgumu kufanya kazi na viongozi wenzake
-Kulikuwa na dharau ya kutosha kutoka kwa wajumbe.
-Vingozi wenzake walishindwa kutimiza yote wanayoagizana vikaoni.
-Uzembe, majungu na visa visivyo msingi vimechangia kuleta migogoro na hivyo kuzaa makundi.
Alitaarifu kuwa viongozi wenzake hawakuwa tayari kufanya uchaguzi na hivyo yeye aliitisha uchaguzi wa wazi, haki na amani na yeye kuchaguliwa kuwa mwenyekiti ambapo viongozi wenzake walikaidi kuhudhuria.
*Wajumbe walibaini kuwepo kwa ukiukwaji wa katiba kwa pande zote mbili kwa kutokuunda Halmashauri Kuu ya Tawi, kutoitisha Mkutano Mkuu,taratibu za kumfukuza Mwenyekiti zilikuwa batili na uchaguzi uliofanyika ni batili pia.
Azimio/Maamuzi
-Tusahau yaliyopita na kuanza upya kwa kufikia maamuzi sahihi ya kukijenga chama kwa pamoja
-Ilikubalika kuwa wajumbe (wa kila upande) waliopo ni zaidi ya nusu ya idadi ya wajumbe wote maamuzi yatakayotolewa kikaoni ni halali na wasiohudhuria watajulishwa.
-Maamuzi yatakayofikiwa kikaoni ndio mwelekeo mpya wa CCM Tawi la Marekani
2.0 Muafaka.
Baada ya majadiliano ya kina yenye kutumia busara na amani wajumbe kwa pamoja walikubaliana
-Kuungana kwa pande zote mbili na kuwa kitu kimoja.
-Iundwe kamati ya uongozi ya kuratibu upya shuguli za chama
-Uandaliwe uchaguzi mpya, huru na wenye amani ili kupata uongozi wa pamoja.
-Nyara na nyaraka za chama vikabidhiwe kwa uongozi wa kamati hiyo.
-Uwepo mshikamano, upendo, utii na nidhamu kati yetu wanachama na kwa viongozi wote.
Azimio/Maamuzi
Kamati iliundwa ikiwa na wajumbe watatu (3) kutoka kila upande. Ikiwa ni viongozi wa kutoka kila upande isipokuwa Ndg Ndejembi na Mr Kitogo walioshauriwa kukaa pembeni ili kuondoa sura ya zamani ya mgogoro. Wajumbe wa kamati ni:
Mwenyekiti Novastus Simba, Katibu Abdallah Nyangasa, Wajumbe Innocent Batamula, Abdulkarim Faraji, Misso Temu
Na Salum Rajabu .
Kamati ilikabidhiwa majukumu yote ya msingi ikiwa ni pamoja na
Kutengeneza dira ya uendeshaji wa chama kikatiba
Kuandaa uchaguzi wa uongozi mpya
Kukusanya nyara na nyaraka za CCM Tawi la Marekani
Kusimamia mtandao wa mawasiliano uliopo na kutengeneza mwingine.
Kufunga
Sambamba na wajumbe wengine Ndg Ndejembi alitangaza kukubaliana na maamuzi halali ya kikao. Mjumbe Mkude alitumia nafasi hiyo kumsifu Ndg Ndejembi kwa uasisi wake wa tawi, heshima ambayo haitakufa milele
Na kumpongeza kwa kukubaliana na maamuzi halali ya kikao.
Mwenyekiti aliwashukuru wajumbe na alifunga kikao ilipotimia saa 3:17 usiku
Imeandalia na kusainiwa na
. .
Anthon Rugimbana (Mjumbe) Augustine Mkude (Katibu) Frank Mathew (Mwenyekiti)
WA CCM TAWI LA MAREKANI KILICHOFANYIKA
KATIKA UKUMBI WA SAFARI-HOUSTON TEXAS, TAREHE 02/Januari/2011
1. Frank Matthew Mwenyekiti-Kamati ya usuruhishi/Mwenyekiti wa kikao
2. Mkude Augustine Katibu-Kamati ya usuruhishi/ Katibu wa kikao
3. Anthony Rugimbana Mjumbe-Kamati ya usuruhishi
4. Michael Ndejembi Mjumbe
5. Misso Temu Mjumbe
6. Salum Rajabu Mjumbe
7. Simon Makangula Mjumbe
8. Isaac Kitogo Mjumbe
9. Abdallah Nyangasa Mjumbe
10. Innocent Batamula Mjumbe
11. Novastus Simba Mjumbe
12. Miraji Malewa. Mjumbe
WAJUMBE WALIOSHINDWA KUHUDHURIA
- Alvin Lema Kazini
- Shaibu Saidi Kazini
- Magreth Pambamaji Kazini
- James Shemdoe Kazini
- Abdulkarim Faraji Safari kikazi
- Zainab Janguo Safarini Tanzania
- Andrew Sanga Safarini Tanzania
1.0 Ufunguzi
Mwenyekiti alielezea kuwa kamati ya usuruhishi imeundwa na Halmashauri Kuu ya CCM Tawi la Marekani ili kumaliza mgogoro uliopo kati ya pande mbili. Kamati ilichukua hatua ya kuonana na Ndg Kitogo, na kumuomba kufanya mkutano wa pamoja. Nao wakaridhia na ndio sababu ya kikao hiki kizito.
Mwenyekiti alitaarifu lengo kuwa ni kuondoa tofauti zilizopo kati ya CCM-Kitogo na CCM-Ndejembi na kuwa na CCM moja yenye nguvu na mwelekeo wa kichama na kutokuwa na chuki ama makundi.
Alitaka kikao hiki cha pamoja kitoe maamuzi na mwelekeo bora kwa chama.
Alifungua kikao saa 1:32 jioni.
1.1 Kupokea maelezo
Mr Kitogo:
Alielezea matatizo ya Mwenyekiti aliyekuwapo madarakani Mr Ndejembi kuwa ni pamoja na
-Kuendesha chama kama taasisi binafsi.
-kutopokea maoni/mapendekezo ya viongozi wenzake
-Kutotoa nyara na nyaraka muhimu za chama ikiwamo kuficha orodha ya wanachama.
-Kutumia lugha za matusi kwa wajumbe na kuwafokea viongozi wenzake.
-Kufanya mikutano binafsi bila wajumbe wengine na kutangaza maazimio bila wengine kuhudhuria.
Kutokana na matatizo mengi walimuandikia barua ya kujieleza ambayo hakuijibu na hivyo kumfukuza uenyekiti na nafasi hiyo akateuliwa yeye-Kitogo kushika kwa muda.
Mr. Ndejembi
Alielezea kukosa ushirikiano wa viongozi wenzake ambapo kulijitokeza kundi la kumpinga kwa makusudi kutokana ama na umri au uenyeji na hivyo alikuwa na wakati mgumu kufanya kazi na viongozi wenzake
-Kulikuwa na dharau ya kutosha kutoka kwa wajumbe.
-Vingozi wenzake walishindwa kutimiza yote wanayoagizana vikaoni.
-Uzembe, majungu na visa visivyo msingi vimechangia kuleta migogoro na hivyo kuzaa makundi.
Alitaarifu kuwa viongozi wenzake hawakuwa tayari kufanya uchaguzi na hivyo yeye aliitisha uchaguzi wa wazi, haki na amani na yeye kuchaguliwa kuwa mwenyekiti ambapo viongozi wenzake walikaidi kuhudhuria.
*Wajumbe walibaini kuwepo kwa ukiukwaji wa katiba kwa pande zote mbili kwa kutokuunda Halmashauri Kuu ya Tawi, kutoitisha Mkutano Mkuu,taratibu za kumfukuza Mwenyekiti zilikuwa batili na uchaguzi uliofanyika ni batili pia.
Azimio/Maamuzi
-Tusahau yaliyopita na kuanza upya kwa kufikia maamuzi sahihi ya kukijenga chama kwa pamoja
-Ilikubalika kuwa wajumbe (wa kila upande) waliopo ni zaidi ya nusu ya idadi ya wajumbe wote maamuzi yatakayotolewa kikaoni ni halali na wasiohudhuria watajulishwa.
-Maamuzi yatakayofikiwa kikaoni ndio mwelekeo mpya wa CCM Tawi la Marekani
2.0 Muafaka.
Baada ya majadiliano ya kina yenye kutumia busara na amani wajumbe kwa pamoja walikubaliana
-Kuungana kwa pande zote mbili na kuwa kitu kimoja.
-Iundwe kamati ya uongozi ya kuratibu upya shuguli za chama
-Uandaliwe uchaguzi mpya, huru na wenye amani ili kupata uongozi wa pamoja.
-Nyara na nyaraka za chama vikabidhiwe kwa uongozi wa kamati hiyo.
-Uwepo mshikamano, upendo, utii na nidhamu kati yetu wanachama na kwa viongozi wote.
Azimio/Maamuzi
Kamati iliundwa ikiwa na wajumbe watatu (3) kutoka kila upande. Ikiwa ni viongozi wa kutoka kila upande isipokuwa Ndg Ndejembi na Mr Kitogo walioshauriwa kukaa pembeni ili kuondoa sura ya zamani ya mgogoro. Wajumbe wa kamati ni:
Mwenyekiti Novastus Simba, Katibu Abdallah Nyangasa, Wajumbe Innocent Batamula, Abdulkarim Faraji, Misso Temu
Na Salum Rajabu .
Kamati ilikabidhiwa majukumu yote ya msingi ikiwa ni pamoja na
Kutengeneza dira ya uendeshaji wa chama kikatiba
Kuandaa uchaguzi wa uongozi mpya
Kukusanya nyara na nyaraka za CCM Tawi la Marekani
Kusimamia mtandao wa mawasiliano uliopo na kutengeneza mwingine.
Kufunga
Sambamba na wajumbe wengine Ndg Ndejembi alitangaza kukubaliana na maamuzi halali ya kikao. Mjumbe Mkude alitumia nafasi hiyo kumsifu Ndg Ndejembi kwa uasisi wake wa tawi, heshima ambayo haitakufa milele
Na kumpongeza kwa kukubaliana na maamuzi halali ya kikao.
Mwenyekiti aliwashukuru wajumbe na alifunga kikao ilipotimia saa 3:17 usiku
Imeandalia na kusainiwa na
. .
Anthon Rugimbana (Mjumbe) Augustine Mkude (Katibu) Frank Mathew (Mwenyekiti)