Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,087
- 8,592
mwandosya ni mtu pekee anayeweza kuiongoza tanzania ila sio yule jamaa wa monduli
unaweza Kuwa sahihi
mwandosya ni mtu pekee anayeweza kuiongoza tanzania ila sio yule jamaa wa monduli
Yeyote atakayepitishwa na CCM ndiye Raisi wa Tanzania. Raisi bora atatoka CCM.
Labda Simba si yanga Bwana tutake radhiMagufuli naye ndoto za kuwa raisi labda wa yanga
Ndoto za mchanaYeyote atakayepitishwa na CCM ndiye Raisi wa Tanzania. Raisi bora atatoka CCM.
Kama isingekuwa utaratibu mbovu uliozoeleka hapa Tanzania, Kwamba akitoka wa dini hii anaingia wa dini ile, namkubali sana Mzee Salim. Hana makuu mzee wa watu yeye kapigwa sana mishale na wazee wa Mtandao. Ameitwa kila aina ya majina lakini mzee Salim alionyesha ukomavu mkubwa ktk siasa za maji taka zilizokithiri huko Ccm.
Ni Mzee pekee toka ccm wa upande ule mwingine wa dini anayesemekana hana chembe yoyote ya Udini, Ni tunda lililosalia la Baba wa Taifa Mwl. Nyerere (R.I.P) linaloendelea kuishi ktk misingi ya falsafa ya Mwalimu, hana kitu kinachoitwa kisasi nafsini mwake. Hilo tumeliona kwa kuchaguliwa kwake kuwa mjumbe wa Cc ya Ccm, pamoja na kutukanwa na kukashifiwa na mkubwa wa kundi la Wanamtandao lakini pindi alipotangazwa kuwa mteleule wa kamati hiyo aliupokea kwa unyenyekevu mkuwa uteuzi ule na kamwe hakunyanyua japo ukucha kumparura yeyote kwa kukashifiwa kwake hapo awali..!!!
Waweza kumpata nani mwenye moyo kama huo hapa Tanzania ktk kizazi hiki?
Na kwa bahati mbaya umri hausimami.!
BACK TANGANYIKA
Ingawa nipo Arusha,naendelea kudokezwa yanayochomoza vikaoni (ndani ya CCM) na katikati ya makada wa haja. Nimedokezwa kuwa CCM inaelekea kugeukia kwa wanachama wawili ambao kura zao hazikutosha mwaka 2005 na 2010, Dr. Salim Ahmed Salim na Profesa Mark Mwandosya. Nikaambiwa kuwa makada hawa wawili wana kila sifa za kuwa Rais wa Tanzania na hawana makuu wala makundi. Pia,wako mbali na kashfa ya aina yoyote iliyoitafuna taifa.
Ninaaminishwa kuwa ripoti mpya ya CAG imempiga mweleka Dr John Pombe Magufuli kwakuwa Wizara yake ililidanganya Bunge na kufisidi mamilioni ya fedha (bilioni 262). Dr. Salim na Prof. Mwandosya sasa wanatazamwa kama dawa pekee ya kuiponya CCM katika kipindi ambacho chama na Serikali yake kimeandamwa na kashfa za kifisadi za kila aina na rangi. Nikaambiwa kuwa Salim na Mwandosya watashawishiwa kuchukua fomu za kugombea kipenga kitakapopulizwa.
Hatimaye CCM yetu imepata pakutokea. Walionidokeza na kuniambia ni wabobezi wenzangu chamani na nawaamini. Afadhali papoe jamani!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
CAG ameweka wazi wizi wa bil 87 zilizopigwa wizara ya ujenzi ss porojo iko wapi?Maghufuli hachafuliki kwa porojo kama hizi.
Maghufuli hachafuliki kwa porojo kama hizi.
umechambua standard mkuu,japo mi sio gamba
umechambua standard mkuu,japo mi sio gamba