profesa.n.
Member
- Apr 23, 2012
- 84
- 58
ki ukweli CCM,ipo katika wakati mgumu,kitendo cha kubadilisha baraza la mawaziri,ni dhairi,chama kilichopo madarakani kimeoza,na sasa cule wakati wa ujinga chadema wa shughulikieni ipasavyo msichoke.
Washaanza kushughulikiwa siku nyingi na tunasubiri wawe wapinzani 2015.
hata wakibadili blm kama pinda ataendelea kuwa pm kazi bure.
Hata wakibadili BLM kama Pinda ataendelea kuwa PM Kazi bure.